 |
Urefu Wasababisha Aache Shule ya Msingi |
|
Msichana mwenye umri wa miaka 14 wa nchini Brazili ambaye ana urefu wa sentimita 206 amelazimika kuacha shule kwasababu amechoka kujipinda kwenye mabasi wakati wa kwenda shule, ameamua kuingia kwenye fasheni za mavazi.
... Full Story |
|
|
 |
Kweli Mapenzi Hayana Umri... |
|
Wahenga hawakukosea kamwe waliposema mapenzi hayana umri, Baada ya miaka mitano ya uchumba hatimaye wapenzi hawa wa nchini Uingereza wameamua kufunga pingu za maisha. Bwana harusi ana umri wa miaka 88 wakati Bi Harusi ana umri wa miaka 95.
... Full Story |
|
|
 |
Maisha Yake Yapo Hatarini Iwapo Atalala |
|
Alipozaliwa wazazi wake waliambiwa na madaktari kuwa mtoto wao ana wiki sita tu za kuishi duniani kutokana na ugonjwa wa ajabu alio nao ambao humfanya ashindwe kupumua kila anapopitiwa na usingizi, lakini leo hii ametimiza miaka 11 na kuwaacha madaktari wakiwa hawaamini amewazaje kuishi muda mrefu.
... Full Story |
|
 |
Utamu na Faida za Tende |
|
Je unajua kwamba tende ndio tunda pekee lenye kuupatia mwili vitu vinne kwa wakati mmoja, vitamin, protini, wanga na mafuta?. Mbali na utamu wake tende ambazo hulika sana mwezi wa ramadhan zina faida nyingi sana kwa mwili wa binadamu. Zijue faida zake.
... Full Story |
|
|
 |
Babu Aota Mmea wa Njegere Kwenye Mapafu |
|
Baada ya miezi kadhaa ya kikohozi kisichokatika, mwanaume mmoja wa nchini Marekani alihofu amepata kansa ya mapafu lakini baada ya kufanyiwa uchunguzi wa kina, madaktari walibaki hawaamini baada ya kuona mmea wa njegere ulikuwa ukimea kwenye mapafu y
... Full Story |
|
 |
Akataa Tsh. Milioni 500 Ili Asiolewe |
|
Msichana wa nchini Hungary ambaye aliinadi bikira yake kwenye internet na kupata mteja aliyekuwa tayari kuinunua kwa pesa sawa na Tsh milioni 500, ameghairi kumtunuku bikira yake mwanaume huyo kwakuwa mwanaume huyo anataka kumuoa.
... Full Story |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
 |
Afariki Baada ya Kupewa Taarifa ya Kifo Chake |
|
Mzee mmoja wa nchini India alishtuka sana baada ya kupokea barua ikionyesha kuwa alifariki wiki moja iliyopita na mwili wake umeishachomwa moto kugeuzwa majivu. Kutokana na mshtuko huo alikumbwa na shambulio la moyo na alifariki dunia.
... Full Story |
|
|
 |
Hatimaye Sio Mungu Tena.. |
|
Mtoto aliyezaliwa nchini India akiwa na mikono minne na miguu minne ambaye alikuwa akiabudiwa kama mungu amepoteza uungu wake baada ya kufanyiwa operesheni kuondoa mikono na miguu iliyozidi.
... Full Story |
|
|
|
 |
Mapenzi Yanapozidi.. |
|
Mwanaume mmoja wa nchini Uingereza kwa uchungu aliokuwa nao wa kuondokewa na mpenzi wake, aliamua kuishi na maiti ya mpenzi wake ndani ya nyumba yake akiimwagia pafyumu nyingi sana ili kuzuia harufu isitoke nje.
... Full Story |
|
|
 |
Busu la Mpenzi Lasababisha Awe Kiziwi |
|
Mwanamke mmoja wa nchini China amekuwa kiziwi sikio moja baada ya kupewa mabusu ya nguvu ya kunyonyana ndimi na mpenzi wake. Vyombo vya habari nchini humo vimekuwa vikiwaonya vijana kupunguza kupeana mabusu ili kuepuka madhara kama hayo yasitokee tena.
... Full Story |
|
|