Life Style

VIDEO - Mwanaume Ajitamba Kufanya Mapenzi na Wanaume 1000
Mwanaume aliyejibadilisha jinsia yake kuwa mwanamke miaka saba iliyopita amejitokeza kwenye televisheni ya taifa nchini Uingereza na kutangaza kuwa akiwa kama mwanamke amefanikiwa kufanya mapenzi na wanaume wapatao 1000. ... Full Story

Ukisikia Mtu Mfupi Basi Ndio Huyu
Ukisikia mtu mfupi kuliko wote duniani basi huyu mwanaume wa nchini Nepal atakuwa amevunja rekodi ya dunia, ana urefu wa sentimeta 56 na uzito wa kilo 12 tu. ... Full Story

Ajifungua watoto sita kwa mpigo
Balkh Afghanistan, Mwanamama Sahar Gul 22 amejifungua mapacha sitakwa mpigo, miongoni mwao watatu wanawake na watatu wanaume! Na afya ya mama ni nzuri na upo uwezekano wa kuruhusiwa atoke hospitalini baada ya siku 1 au 2. ... Full Story

Vituko vya majuu, wazazi waficha jinsia ya mtoto
Beck Laxton, 46, na mkewe Kieran Cooper, 44, walificha jinsia ya mtoto wao tangu azaliwe hadi akafikia miaka mitano. ... Full Story

Ajigongelea msumari wa nchi kichwani
Patrick Lawler 23, Mkazi wa viunga vya Chicago Marekani, amepatwa na kali ya mwaka. Mnamo tarehe 6 Januari, ... Full Story

Msichana wa Kiaustralia anusurika kimaajabu
Shirika la habari la Reuters linaripoti kuwa Msichana Muastralia Erin Langworthy amenusurika kupoteza maisha yake baada ya kamba aliyofungia miguu yake na daraja kukatika. Hayo yametokea pale msichana huyo alipojirusha kutoa sehemu ya mwinuko mkubwa ... Full Story

Panya kibao ndani ya Treni za Marekani
Idadi kubwa ya panya katika METRO (Treni za chini ya Ardhi) huko Marekani, imewalazimisha Wafanyakazi wa treni hizo waandae mashindano ya kuchora picha inayoonesha uhuru na matanuzi ya panya ndani ya treni. ... Full Story

Demu wa miaka 13 afanyishwa ukahaba
Habari kutoka Majengo Tanesco, mjini Sumbawanga zimeripoti kuwa msichana ambaye ni mwanafunzi wa darasa la saba alietumikishwa ngono ya lazima kwa miezi saba akitafutiwa wanaume na mwenye danguro kwa malipo ya kupewa wa mlo. ... Full Story

Tamu ya Pombe.. Bi Harusi na Bwana Harusi Wazitwanga
Harusi moja ya nchini Czech ilimalizika kwa majonzi baada ya bwana na bi harusi kuumalizia usiku rumande baada ya kulewa na kuanza kurushiana makonde hadharani wakati wa sherehe za harusi yao. ... Full Story

Tahadhari, Internet Inaua Nguvu za Kiume
Habari si nzuri kwa wanaume wanaopenda kutumia wireless internet kwenye laptop zao wakiwa wameziweka laptop zao mapajani au karibu na viungo vyao muhimu vya kiume, utafiti wa wanasayansi wa Marekani na Argentina umeonyesha kuwa wireless internet inaua mbegu za kiume. ... Full Story

Aanika nyeti zake ili kuonesha uhuru wa kujieleza
Katika vituko vya dunia ya leo, Alia Al-Mahdy Msichana wa kimisri ameanika picha yake ya utupu/uchi wa mnyama katika mtandao wake wa Twitter ili kuonesha namna anavyopigania uhuru wa kujieleza. ... Full Story

Uhaba wa Maegesho ya magari: Aua kwa kuzuiwa kuegesha gari
Alexandria, Misri. Shehata Mohamed Mkazi Alexandria nchini Misri amemuua Mohamed S. Zidane kwa sababu Zidane alipinga na kukataza katakata kuegeshwa gari la Shehata katika eneo la nyumba ya anamoishi Shehata. ... Full Story

Wajiambukiza Ukimwi ili Wapate Msaada wa Pesa
Hali ngumu ya maisha nchini Ugiriki imepelekea idadi ya waathirika wa ukimwi nchini Ugiriki iongezeke kwa kasi kutokana na baadhi ya watu kujiambukiza kwa makusudi ukimwi ili wapate pesa zinazotolewa kama msaada kwa waathirika wa ukimwi. ... Full Story

Picha - Huwezi Amini Huyu ni Mwanaume Aliyejigeuza Mwanamke
Kwa haraka haraka au bila kuambiwa unaweza kuamini kabisa kuwa huyu kwenye picha ni mwanamke mwenye makalio makubwa kama ya wale wanawake waliojidunga sindano za wachina, lakini cha kustaajabisha huyu ni mwanaume aliyebadilisha jinsia yake kuwa mwanamke na baadae kuongeza makalio yake. ... Full Story

Mwalimu Apiga Punyeto Darasani Mbele ya Wanafunzi
Mwalimu wa kiume mtaalamu wa somo la hisabati katika shule ya kikristo nchini Marekani amefukuzwa kazi baada ya kushusha nguo zake darasani na kupiga punyeto mbele ya wanafunzi wake. Alikuwa akipiga punyeto kwa siri mbele ya wanafunzi wake kwa miaka 10 iliyopita. ... Full Story

Mwalimu wa Kike Abaka Wanafunzi Wake 11
Mwalimu wa kike wa nchini Marekani mwenye umri wa miaka 41, anakabiliwa na kifungo cha kwenda jela miaka 60 kwa kosa la kufanya mapenzi na wanafunzi wake wa kiume 11 katika kipindi cha miezi mitatu. ... Full Story

Sura Ya Mtu Yaonekana Kwenye Makende
Daktari mmoja wa nchini Kanada alipigwa na butwaa pale alipompiga picha ya ultrasound mgonjwa wa kiume aliyekuwa amevimba makende yake na kukutana na picha ya sura ya mtu anayeonekana yuko kwenye maumivu makali. ... Full Story

Baunsa Ageuka Shoga..
Baunsa wa nchini Marekani ambaye enzi ya ujana wake hakupata mafanikio makubwa kwenye mashindano ya kunyanyua vitu vizito amerudi tena kwenye mchezo huo safari hii akishindana kwenye kitengo cha wanawake. ... Full Story

VIDEO - Watu Hawana Utu Wala Huruma
Ubinadamu umepotelea wapi? watu hawana huruma siku hizi, hayo yanadhihirishwa na video hii ya mtoto huyu wa nchini China ambaye aligongwa na gari mara mbili na kuachwa barabarani watu wakimpita bila ya kumpa msaada wowote mpaka alipokanyagwa na gari jingine kwa mara ya tatu. ... Full Story

Busha Lenye Kilo 45 Lamtesa.. Aomba Msaada
Mwanaume mmoja wa nchini Marekani ana busha lenye uzito wa kilo 45, busha hilo linamtesa sana kiasi cha kushindwa kutembea na hata kwenda chooni. ... Full Story

Uchawi Wa Kutumia Mbegu za Kiume, Wanaume Wabakwa!
Uchawi wa mpya umeibuka nchini Zimbabwe ambapo mbegu za uzazi za wanaume zimekuwa dili kiasi cha kundi la wanawake kuwabaka wanaume na kisha kuiba mbegu zao za kiume. ... Full Story

Mrembo Azeeka Ghafla Baada ya Kutumia Madawa ya Asili
Alikuwa ni mwanamke mrembo mwenye umri wa miaka 23 lakini baada ya kutumia madawa ya asili katika hali ambayo watu wengi walishindwa kuamini ndani ya siku chache alianza kuzeeka kwa kasi na hazikupita siku chache alionekana ni kama bibi wa miaka 73. ... Full Story

Ana Miguu Mikubwa Kuliko Watu Wote Duniani
Anapopita barabarani watu hugeuza shingo zao na kubaki wakiushangaa urefu wake, wengine humuuliza wewe ndiye mtu mrefu kuliko wote duniani? jibu huwa ni hapana lakini anashikilia rekodi ya dunia ya kuwa na miguu mikubwa kuliko watu wote duniani. ... Full Story

Alikuwa Hajui Kama Ana Mimba, Ajifungua Mtoto Barabarani
Mwanamke mmoja wa nchini Uingereza ambaye alikuwa hajijui kama ana mimba na kuwa mimba hiyo imetimiza miezi tisa alipatwa na mshtuko baada ya kujifungua mtoto wa kiume barabarani. ... Full Story

VIDEO - Kiziwi Aliposikia Kwa Mara ya Kwanza
Mwanamke mwenye umri wa miaka 29 ambaye alizaliwa akiwa kiziwi aliangua kilio cha nguvu baada ya kusikia sauti kwa mara ya kwanza katika maisha yake. ... Full Story

Ukisikia Miujiza Ndio Hii...
Mwanamke huyu wa nchini Mexico huenda alipata bahati kubwa sana kuweza kuendelea kuishi duniani hadi leo, alipigwa bunduki iliyoambatana na bomu lililonasa kwenye mdomo wake, wakati wowote lingeweza kulipuka, madaktari walikataa kumtibia, kila mtu alikimbia na hakutaka kuwa karibu naye. ... Full Story

Mtoto Mwenye Sura Mbili Azaliwa Pakistan
Mamia ya watu wamekuwa wakimiminika kwenye wadi ya wazazi ya hospitali moja nchini Pakistan ili kumshuhudia mtoto mwenye kichwa chenye sura mbili aliyezaliwa juzi nchini humo. ... Full Story

Utamu wa Mapenzi Ndani ya Gari....
Wapenzi wawili wa nchini China waliokuwa wakifanya mapenzi ndani ya gari walinusurika kuiaga dunia baada ya kunogewa na malavidavi na kuliacha gari likienda lenyewe na kugonga na kuuvunja ukuta wa jengo la maegesho ya magari. ... Full Story

VIDEO - Nguruwe Mwenye Kichwa cha Binadamu Azaliwa
Nguruwe aliyezaliwa nchini Guetamala akiwa na kichwa kama cha binadamu amekuwa gumzo kubwa sana nchini humo na kuzua maswali mengi yasiyo na majibu. ... Full Story

Aenda Kutahiriwa, Akatwa Uume na Daktari
Dereva wa lori wa nchini Marekani ameenda mahakamani kumshtaki daktari aliyeamua kuukata uume wake wakati alipoenda hospitali kwaajili ya kutahiriwa. ... Full Story

Habari Zaidi za Life Style 
Chagua Ukurasa:
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 | 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 | 15 | 16 | 17 | 18 |

Photo Gallery

 Baba watoto

 Vituko vya Walimwengu
Most viewed news
Manchester United yaponea chupuchupu
CCM yatimiza miaka 35
Wanaume watakiwa kujitokeza katika tohara
Mchungaji akataza watu kuhudhuria misiba
Arsenal yafanya mauaji 7 - 1
VIDEO - Mwanaume Ajitamba Kufanya Mapenzi na Wanaume 1000
Ukisikia Mtu Mfupi Basi Ndio Huyu
74 Wauawa katika Mechi ya Soka
Mgomo watinga Bungeni
Wanajeshi watinga Muhimbili