Life Style

Bibi wa China Aota Mapembe Kama Mbuzi
Bibi mwenye umri wa miaka 101 wa nchini China anawashangaza mamia ya watu kutokana na mapembe kama ya mbuzi yanayoendelea kujitokeza kwenye kichwa chake. ... Full Story

Mtoto Mdogo Sana Azaliwa Akiwa na Uzito wa Gramu 275
Mtoto aliyezaliwa kabla ya muda wake ambaye alikuwa mwepesi sana kiasi cha kwamba kopo dogo la cocacola lilikuwa zito kulinganisha na uzito wake, amemaliza minane akiwa hai pamoja na hofu ya madaktari kuwa asingeweza kuishi siku nyingi. ... Full Story

Mtoto wa Miaka 2 Mwenye Kilo 41
Kwa umri ana miaka miwili tu lakini kutokana na unene wake mtoto huyu wa nchini China ana uzito wa kilo 41 na bado anaendelea kunenepa. ... Full Story

'Sigara Zimeniua'
Mvuta sigara aliyeteseka miaka mingi kutokana na magonjwa yaliyotokana na uvutaji sigara ametimiziwa matakwa yake kuwa atakapofariki jeneza lake na kaburi lake liweke maneno yanayosema 'Sigara Zimeniua'. ... Full Story

Mtoto wa China Mwenye Ngozi Kama ya Samaki
Mtoto mmoja nchini China anasumbuliwa na ugonjwa wa ajabu ambao umeifanya ngozi yake iwe kama ya samaki. ... Full Story

Mama Aliyefanya Mapenzi Mara 200 na Mtoto wa Miaka 12 Atupwa Jela
Mama wa mtoto mmoja ambaye alifanya mapenzi na mtoto wa miaka 12 takribani mara 200 na kisha kuweka alama ya nyota kwenye daftari lake kila wanapomaliza kufanya mapenzi, amehukumiwa kwenda jela miaka tisa. ... Full Story

Mtu Mwenye Nywele Ndefu Kuliko Wote Duniani Afariki
Mwanaume wa nchini Vietnam aliyekuwa akitambulika kama mtu mwenye nywele ndefu kuliko watu duniani amefariki dunia huku nywele zake zikiwa na urefu wa mita 6.8. ... Full Story

Amuua Mpenzi Wake Baada ya Kuambiwa Hayawezi Majambozi
Mwanaume mmoja nchini Uingereza amefikishwa mahakamani kwa kumuua mpenzi wake aliyemkebehi kuwa ana uume mdogo sana hivyo hawezi kumtosheleza hamu zake za kimapenzi. ... Full Story

Utajiri Haujamletea Furaha, Milionea Agawa Mali Zake Zote
Milionea wa nchini Austria, Karl Rabeder anagawa mali zake zote na kwenda kuishi kwenye kibanda cha mbao baada ya kugundua kuwa utajiri alionao haujamletea furaha yoyote zaidi ya kumfanya awe mpweke. ... Full Story

Mtoto wa Miaka 9 Ajifungua Mtoto
Msichana mwenye umri wa miaka 9 wa nchini China ameingia kwenye rekodi ya akina mama wenye umri mdogo sana duniani baada ya kujifungua mtoto wa kike mwenye uzito wa kilo 2.7. ... Full Story

Mwanafunzi Aiuza Bikira Yake Kwa Dola 32,000
Mwanafunzi mmoja wa nchini New Zealand ameinadi bikira yake kwa dola 31,900 kwa mwanaume asiyemfahamu ili aweze kupata pesa za kulipia gharama za masomo yake ya chuo kikuu. ... Full Story

Paka Anayedaiwa Kuwa na Uwezo wa Kunusa Kifo Kabla Hakijatokea
Ukimuona ni paka wa kawaida ambaye hana tofauti yoyote na paka wengine lakini inasemwa kuwa ana uwezo wa kuwatambua wagonjwa wanaokaribia kufariki hospitalini na hadi sasa imesemwa kuwa ameishafanikiwa kuvinusa vifo vya wagonjwa 50 kabla hata havijatokea ... Full Story

Ana Miaka 13 Lakini Anaonekana Kama Bibi wa Miaka 50
Akikuambia kuwa ana umri wa miaka 13 unaweza ukabisha mpaka siku inayofuatia bila kukubali, msichana Zara Hartshorn wa nchini Uingereza aliyepatwa na ugonjwa wa ajabu anashindwa kuufaidi utoto wake kutokana na jinsi watu wanavyomchukulia kuwa yeye ni bibi mwenye umri wa miaka zaidi ya 50 ... Full Story

Uvaaji Wako wa Suruali Hudhihirisha Umri Wako
Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti uliofanyika hivi karibuni, uvaaji wa suruali wa mwanaume huendana na umri alio nao, wakati vijana wengi hushusha suruali zao chini ya makalio wanaume wanaoanza kuzeeka huzipandisha suruali zao juu ya kiuno. ... Full Story

Kibonge wa Dunia Apungua Kilo 127,Lakini Bado Anaongoza
Mtu mnene kuliko wote duniani amepungua kilo 127 baada ya kufanyiwa operesheni ya kuokoa maisha yake lakini bado ameendelea kutambulika kama mtu mnene kuliko wote duniani kwa kilo zake 311 zilizobaki. ... Full Story

Kufanya Operesheni Ili Afanane na Supastaa wa Marekani
Ili kumfanya mpenzi wake wa zamani amrudie tena, mwanamke mmoja wa nchini China anafanya operesheni ya kuubadilisha mwili wake ili afanane na nyota wa Marekani, Jessica Alba. ... Full Story

Mtoto Aliyezaliwa Akiwa na Miguu Minne, Mikono Minne Aanza Shule
Mtoto wa nchini India ambaye alizaliwa akiwa na miguu minne na mikono minne, ameanza shule miaka miwili baada ya kufanyiwa operesheni ya kuviondoa viungo vilivyozidi. ... Full Story

Mwanaume Mwingine Apata Mimba, Kujifungua Mwezi Ujao
Mwanaume wa nchini Marekani ambaye alizaliwa kama mwanamke kabla ya kubadili jinsia yake kuwa mwanaume anatarajia kujifungua mtoto wa kiume mwezi ujao. ... Full Story

Mume Mkware Ala Uroda na Mama Mkwe Wake
Mume mkware wa nchini Uingereza ambaye alisamehewa na mkewe baada ya kufumaniwa akifanya mapenzi na mama mkwe wake, amemkimbia mkewe na kwenda kuishi na rafiki wa mke wake. ... Full Story

VIDEO - Msichana wa India Anayevuja Damu Mara 50 Kwa Siku
Msichana Twinkle Dwivedi mwenye umri wa miaka 14 wa nchini India anasumbuliwa na ugonjwa ambao umewafanya madaktari wakune vichwa sana bila majibu. Mwili wa Twinkle huvuja damu mara 50 kwa siku kupitia kwenye macho yake, pua, masikio na kwenye nyayo zake. ... Full Story

Mama Afanya Mapenzi Mara 200 na Mtoto wa Miaka 12
Mama mmoja nchini Uingereza alifanya mapenzi mara 200 na mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12 na alikuwa akiweka alama kwenye daftari lake kila alipomaliza kufanya naye mapenzi. ... Full Story

Mchezaji Mweusi wa Marekani Abadili Rangi ya Ngozi Yake
Mmarekani mweusi Sammy Sosa ambaye aliwika sana enzi zake kwenye mchezo wa Baseball amebadili rangi ya ngozi yake kutoka nyeusi kuwa nyeupe kama mzungu. ... Full Story

VIDEO - Tolu wa Dunia Alipokutana na Mtu Mfupi wa Dunia
Mtu mrefu kuliko wote duniani na mtu mfupi kuliko wote duniani kwa mara ya kwanza walifanikiwa kukutana mbele ya waandishi wa habari nchini Uturuki. VIDEO ya tukio hilo mwisho wa habari hii. ... Full Story

Makalio na Mapaja Makubwa ni Bora Kwa Afya
Wanawake wenye makalio makubwa na mapaja makubwa kama vile Beyonce na Jeniffer Lopez wana uwezekano mdogo sana wa kupata magonjwa ya moyo na kisukari kulinganisha na wanawake wenye makalio madogo, matokeo ya utafiti wa wanasayansi nchini Uingereza umeonyesha. ... Full Story

Ana Mimba ya Miezi Mitano Lakini Bado Bikira
Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 14 wa nchini Uturuki amewashangaza wazazi wake na madaktari baada ya kupimwa na kukutwa ana mimba ya miezi mitano huku ingali bado ni bikira. ... Full Story

Kwanini Watu Wengine Hata Wale Vipi Hawanenepi? Jibu la Kisayansi
Wakati baadhi ya watu hata wakila kidogo tu vyakula vyenye mafuta huanza kunenepa, kuna wengine hata wale vizuri kiasi gani au wale vyakula vya mafuta kiasi gani huwa hawanenepi hata kidogo, wanasayansi wamepata jibu la suala hilo. ... Full Story

VIDEO - Mtoto wa Miaka 7 Mwenye Albamu Tatu za Muziki
Pamoja na kuwa na umri mdogo wa miaka saba, mtoto Cleopatra Satrana raia wa Moldova anayeishi nchini Romania ameishatoa albamu tatu za muziki, ndiye msanii mdogo kuliko wote kulipwa pesa nyingi na ndiye msanii mdogo kuliko wote duniani kushinda tuzo 3 za muziki za MTV. ... Full Story

Miujiza ya Kijana Aliyefariki Yawapagawisha Wengi
Mamia ya watu wanamiminika kwenye nyumba ya kijana mmoja nchini Australia ambaye muda mfupi baada ya kufariki kuta za nyumba yake zimeanza kutoa mafuta ya ajabu ambayo yanadaiwa kuwatibu watu magonjwa yao. ... Full Story

Mtoto wa Miaka 12 Amzalisha Mama Yake
Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 12 amepongezwa kwa ujasiri wake aliouonyesha kwa kugeuka mkunga na kumzalisha mama yake mjamzito mtoto wa kike. ... Full Story

Ajali Yasababisha Awe na Hamu ya Mapenzi Wakati Wote
Mwanamke mmoja wa nchini Marekani maisha yake yamebadilika baada ya kupata ajali ambayo imesababisha awe na hamu ya kufanya mapenzi muda wote. Msuguano wa nguo na mwili wake husababisha awe kwenye kilele cha mapenzi bila hata kuguswa na mwanaume yoyote. ... Full Story

Habari Zaidi za Life Style 
Chagua Ukurasa:
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 | 8 | 9 | 10 | 11 | 12 |

Photo Gallery

 Teh Teh Nivue nisivue?

 Cheka Unenepe Part 4
Most viewed news
Amchinja Mkewe Kwa Kunyimwa Unyumba Kwa Miaka 21
Bibi wa China Aota Mapembe Kama Mbuzi
Mrema achachamaa, atishia kumpeleka Mahakamani Sitta
Mtikila atakwenda jela endapo atashindwa kulipa deni
Serikali yaamuru umeme upitishwe Kanisa la Kakobe
Mwanafunzi Mahakamani kwa wizi wa Mil.5
Noti za Plastiki Kuchukua Nafasi ya Noti za Karatasi
Mizimu Iliyowekwa Kwenye Vichupa Yapigwa Mnada
Mtoto Mdogo Sana Azaliwa Akiwa na Uzito wa Gramu 275
Makahaba 40,000 Kwenda Afrika Kusini Wakati wa Kombe la Dunia