Life Style

Urefu Wasababisha Aache Shule ya Msingi
Msichana mwenye umri wa miaka 14 wa nchini Brazili ambaye ana urefu wa sentimita 206 amelazimika kuacha shule kwasababu amechoka kujipinda kwenye mabasi wakati wa kwenda shule, ameamua kuingia kwenye fasheni za mavazi. ... Full Story

VIDEO - Nywele Zilizokatiwa Bima ya Dola Milioni 1
Mchezaji mashuhuri wa soka la Kimarekani ambaye alijipatia maarufu kwa nywele zake ndefu, amezikatia bima ya dola milioni 1 nywele zake hizo. ... Full Story

Kweli Mapenzi Hayana Umri...
Wahenga hawakukosea kamwe waliposema mapenzi hayana umri, Baada ya miaka mitano ya uchumba hatimaye wapenzi hawa wa nchini Uingereza wameamua kufunga pingu za maisha. Bwana harusi ana umri wa miaka 88 wakati Bi Harusi ana umri wa miaka 95. ... Full Story

Mtoto Mnene Kuliko Wote Duniani
Ana umri wa miezi 10 lakini mtoto huyu wa nchini China ana uzito zaidi ya mtoto wa miaka sita. ... Full Story

Maisha Yake Yapo Hatarini Iwapo Atalala
Alipozaliwa wazazi wake waliambiwa na madaktari kuwa mtoto wao ana wiki sita tu za kuishi duniani kutokana na ugonjwa wa ajabu alio nao ambao humfanya ashindwe kupumua kila anapopitiwa na usingizi, lakini leo hii ametimiza miaka 11 na kuwaacha madaktari wakiwa hawaamini amewazaje kuishi muda mrefu. ... Full Story

Utamu na Faida za Tende
Je unajua kwamba tende ndio tunda pekee lenye kuupatia mwili vitu vinne kwa wakati mmoja, vitamin, protini, wanga na mafuta?. Mbali na utamu wake tende ambazo hulika sana mwezi wa ramadhan zina faida nyingi sana kwa mwili wa binadamu. Zijue faida zake. ... Full Story

Madada Wanne Wazaa Watoto Wanne Ndani ya Siku Nne
Wanawake wanne ndugu wa Marekani katika hali isiyotegemewa walipata ujauzito kwa wakati mmoja na wamejifungua jumla ya watoto wanne ndani ya siku nne. ... Full Story

Babu Aota Mmea wa Njegere Kwenye Mapafu
Baada ya miezi kadhaa ya kikohozi kisichokatika, mwanaume mmoja wa nchini Marekani alihofu amepata kansa ya mapafu lakini baada ya kufanyiwa uchunguzi wa kina, madaktari walibaki hawaamini baada ya kuona mmea wa njegere ulikuwa ukimea kwenye mapafu y ... Full Story

Akataa Tsh. Milioni 500 Ili Asiolewe
Msichana wa nchini Hungary ambaye aliinadi bikira yake kwenye internet na kupata mteja aliyekuwa tayari kuinunua kwa pesa sawa na Tsh milioni 500, ameghairi kumtunuku bikira yake mwanaume huyo kwakuwa mwanaume huyo anataka kumuoa. ... Full Story

Auza Bikira Yake Kwa Tsh. Milioni 500
Msichana mmoja wa nchini Hungary ambaye aliinadi bikira yake kwenye mtandao ili apate pesa za kuisaidia familia yake, amepata mteja ambaye ameinunua bikira yake sawa na Tsh. Milioni 500. ... Full Story

'Mwanaume Mjamzito' Kujifungua Mtoto wa Tatu
Thomas Beatie ambaye mwaka 2008 alikuwa gumzo duniani akitambulika kama mwanaume wa kwanza duniani kupata ujauzito anatarajiwa kujifungua mtoto wa tatu muda wowote kuanzia sasa. ... Full Story

Operesheni za Kurudisha Bikira Zawa Dili Uingereza
Wanawake waliozipoteza bikira zao kwa ngono ambao wanataka kuzirudisha bikira zao kabla ya kuolewa wamezidi kuongezeka nchini Uingereza ambapo operesheni za kurudisha bikira zimekuwa zikifanyika kwa wingi sana siku hizi. ... Full Story

Matiti Yapigwa Pasi Ili Kuzuia Watoto Wasibakwe
Wakati wanawake katika nchi za magharibi wanapigania kuwa na matiti makubwa hali ni tofauti nchini Cameroon ambapo akina mama nchini humo wanatumia njia ya kikatili ya kuyapiga pasi matiti ya watoto wao wa kike ili kuwaepusha wasibakwe. ... Full Story

Inakuwaje Wanigeria Wakazaa Mtoto Mzungu?
Wataalamu wa vinasaba (genetic) wanaumiza vichwa kutafuta sababu imekuwaje mama mweusi na baba mweusi wote toka Nigeria wamezaa mtoto wa kizungu mwenye nywele na macho kama ya watoto wa kizungu. ... Full Story

VIDEO - Apewa Mkong'oto na Kuozeshwa Mke Kinguvu
Mwanaume mmoja wa nchini India ambaye alitaka kuvunja uhusiano na bi harusi kwenye dakika za mwisho kabla ya harusi, alipewa mkong'oto na kulazimishwa kumuoa bi harusi wake. ... Full Story

Mrembo Mwenye Matiti Makubwa Kuliko Wote Duniani Apigania Maisha Yake
Mwanamke mwenye matiti makubwa kuliko wanawake wote duniani ametakiwa achague moja matiti hayo yaondolewe ili aweze kuishi au la afariki akiwa na rekodi yake ya matiti makubwa kuliko wanawake wote duniani. ... Full Story

Mjadala wa Yai na Kuku Kipi Kilianza Wapata Jibu la Kisayansi
Mjadala wa miaka mingi kuhusiana na kipi kilitokea mwanzo kuku au yai? umepata jibu baada ya wanasayansi kuthibitisha kuwa kuku ndiye aliyekuwepo awali kabla ya yai. ... Full Story

Nyota wa Filamu za Ngono Anapokuwa Mwalimu wa Sekondari..
Asubuhi ni mwalimu wa sekondari akifundisha somo la masuala ya jinsia akiwafundisha wanafunzi juu ya kufanya ngono salama lakini jua linapozama hugeuka nyota wa filamu za ngono. ... Full Story

Keki ya Bethidei Kutimiza Miaka 130
Bibi Antisa Khvichava wa nchini Georgia ambaye alizaliwa mwaka 1880 alisherehekea siku yake ya kuzaliwa jana kwa kukata keki iliyokuwa na maandishi ya umri wake Miaka 130. ... Full Story

VIDEO - Mtoto Azaliwa na Sura Yenye Kinyago China
Mtoto mmoja amezaliwa nchini China akiwa na sura ambayo inaonekana kama vile amevaa kinyago. ... Full Story

Ili Asifariki Analazimika Kula Kila Baada ya Dakika 15
Mwanamke mmoja nchini Marekani ambaye pamoja na kuwa na umri wa miaka 21 ana uzito wa kilo 25 tu na kutokana na ugonjwa wa ajabu alio nao analazimika kula chakula kila baada ya dakika 15 ili aweze kuendelea kuishi. ... Full Story

Afariki Baada ya Kupewa Taarifa ya Kifo Chake
Mzee mmoja wa nchini India alishtuka sana baada ya kupokea barua ikionyesha kuwa alifariki wiki moja iliyopita na mwili wake umeishachomwa moto kugeuzwa majivu. Kutokana na mshtuko huo alikumbwa na shambulio la moyo na alifariki dunia. ... Full Story

Watu Wafupi Wako Kwenye Hatari ya Kufa Kwa Magonjwa ya Moyo
Utafiti uliofanywa kwa miaka 50 ukiwashirikisha watu milioni 3 umeonyesha ufupi ni tatizo na watu wafupi wako kwenye hatari ya kufariki kwa magonjwa ya moyo kulinganisha na watu warefu. ... Full Story

Hatimaye Sio Mungu Tena..
Mtoto aliyezaliwa nchini India akiwa na mikono minne na miguu minne ambaye alikuwa akiabudiwa kama mungu amepoteza uungu wake baada ya kufanyiwa operesheni kuondoa mikono na miguu iliyozidi. ... Full Story

Baada ya Ajali Mtoto wa Miaka 3 Awa Chapombe na Mvutaji Sigara
Baada ya kujeruhiwa kwenye ajali ya gari, mtoto wa kike mwenye umri wa miaka mitatu nchini China amekuwa mvutaji sigara na mlevi. ... Full Story

Bibi Mwenye Umri wa Miaka 157 Agundulika Indonesia
Sensa ya idadi ya watu iliyofanyika nchini Indonesia imepelekea kugundulika kwa bibi ambaye hivi sasa ana umri wa miaka 157. Bibi huyo bado yupo fiti na anaendelea na shughuli zake kama kawaida. ... Full Story

Mapenzi Yanapozidi..
Mwanaume mmoja wa nchini Uingereza kwa uchungu aliokuwa nao wa kuondokewa na mpenzi wake, aliamua kuishi na maiti ya mpenzi wake ndani ya nyumba yake akiimwagia pafyumu nyingi sana ili kuzuia harufu isitoke nje. ... Full Story

VIDEO - Mtoto wa Miaka Miwili Anayevuta Sigara 40 Kwa Siku
Alianza kuvuta sigara akiwa na umri wa miezi 18 hivi sasa akiwa na umri wa miaka miwili mtoto mmoja wa nchini Indonesia anavuta sigara 40 kwa siku. Kutokana na tabia yake ya uvutaji sigara hawezi kukimbia na anapata tabu kucheza na wenzake. ... Full Story

Busu la Mpenzi Lasababisha Awe Kiziwi
Mwanamke mmoja wa nchini China amekuwa kiziwi sikio moja baada ya kupewa mabusu ya nguvu ya kunyonyana ndimi na mpenzi wake. Vyombo vya habari nchini humo vimekuwa vikiwaonya vijana kupunguza kupeana mabusu ili kuepuka madhara kama hayo yasitokee tena. ... Full Story

Wanaume Wanaowasaidia Wake Zao Kazi za Nyumbani Ndoa Zao Hudumu
Wanaume ambao huwasaidia wake zao kazi mbalimbali za nyumbani kama vile kupika, kuosha vyombo na kuwaogesha watoto, ndoa zao hudumu muda mrefu kulinganisha na wale wanaosubiria kufanyiwa kila kitu na wake zao. ... Full Story

Habari Zaidi za Life Style 
Chagua Ukurasa:
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 | 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |

Photo Gallery

 Jifotoe mama

 Ukisikia Wazazi bomu
Most viewed news
Siri ya Kimada Yafichuka
Ajinyonga Baada ya Kunyimwa Mkopo
VIDEO - Mwanaume Anayemchezea Simba Sharubu
Kampeni zachachamaa, wapinzani nao watoa ahadi
JK aendelea kutoa ahadi
Pingamizi la Chadema baada ya siku 5
Urefu Wasababisha Aache Shule ya Msingi
Miaka 9 Jela Kwa Kuendesha Gari Huku Akiangalia Ngono
VIDEO - Nywele Zilizokatiwa Bima ya Dola Milioni 1
Kama Siku ya Kufa Haijafika...