Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
   
 
Member's Login
Username
Password
Not a member? Sign Up
            Sign Out

 
 
Mwanafunzi Mahakamani kwa wizi wa Mil.5


Monday, March 08, 2010 10:11 AM
Mwanafunzi Abdallah Miti [18] wa Shule ya Sekondari ya Ari iliyopo Tabata, amefikishwa katika Mahakama ya Ilala ya jijini Dar es Salaam, kujibu tuhuma za wizi wa kuaminika wa Shilingi milioni 5
Mwanafunzi huyo alisomewa mashtaka mahakamani hapo na Mwendesha Mashtaka, Nassoro Katuga mbele ya Hakimu Joyce Minde wa Mahakama hiyo.

Katuga alidai, mtuhumiwa alitenda kosa hilo, Februari 20, mwaka huu katika mtaa wa Garden Ilala jijini Dar es Salaam.

Katuga alidai mwanafunzi huyo aliiba fedha hizo kutoka katika gari namba T 630 aina ya Toyota mali ya Anselem Sigela.
Mtuhumiwa alikana kuhusika na wizi huo na alirudishw rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana aliyopewa.

Ambapo alitakiwa kuwa na wadhamini wawili wa kuaminika wendye uwezo wa kusaini shilingi milioni 5 mahakamani hapo.

Hivyo kesi hiyo iliahirishwa, itatajwa tena Machi 16, mwaka huu.


 
Na Pilly Kigome, Dar es Salaam    
Mtumie Rafiki Yako
  Comments    Add your Comment

Mtoa Maoni: MINA    Monday, March 08, 2010 12:43:59   
 
UBUGUVU pls utakapo rudi uku mtafute BHAI au DILLY ukienda kichwa kichwa utalia yani utarudi mikono mitupu mzungu sijui utamwambia nini kila mtu mwzi yani si uanona mtoto wa miaka 18 tena mwanafuzni kakwapua mil.5..

haya sasa kuna ushaidi wowote kuhusiana na wizi huo au ndio alitoa pesa katoa pesa bandia na aliouziwa cheni pia cheni feki mana mil.5 duh si mchezo

 
 
Mtoa Maoni: Mchokozi    Monday, March 08, 2010 16:43:14   
 
DAH MWANAFUNZI HALI HII ANGEKUWA MWALIMU JE
 
 
Mtoa Maoni: KATUBA GF    Monday, March 08, 2010 21:44:20   
 
HII SASA NOMA,SIJUI HUYU DENT ALIKUWA ANACHUKUA MCHEPUO WA BIASHARA KWANI WAHASIBU NDIYO ZAO KWA KUIBA NI BORA HUYO AMEKAMATWA MAPEMA MAANA ANGEWEZA KUTUIBIA PESA ZETU KWENYE MABENKI.HAKIMU FUNGA HUYU DENT TENA AENDE SEGA DANCE.
 
 
Mtoa Maoni: KATUBA GF    Monday, March 08, 2010 21:46:09   
 
HII SASA NOMA,SIJUI HUYU DENT ALIKUWA ANACHUKUA MCHEPUO WA BIASHARA KWANI WAHASIBU NDIYO ZAO KWA KUIBA NI BORA HUYO AMEKAMATWA MAPEMA MAANA ANGEWEZA KUTUIBIA PESA ZETU KWENYE MABENKI.HAKIMU FUNGA HUYU DENT TENA AENDE SEGA DANCE.
 
 
Mtoa Maoni: moms016    Tuesday, March 09, 2010 00:21:49   
 
@Mchokozi hahahaha acha mazee mara moja..ati ngelikuwa mwalimu co! duh mapya haya!

Kaiba kwa kutumia nguvu? hela iliweke kiholela pasi na ulinzi ama inakuaje?
Wizi haukubaliki kwa yyt yule, na kama kweli ana kosa hili la kuiba kiasi hicho na ahukumiwe tu kwa uadilifu (ingawa TZ umepotea..kwa ishara na dalili tuzijuazo)
Na apewe adhabu ndogo kisha arudishwe masomoni, kuna wezi zaidi ya huyu na wanatesa maofisini, bungeni na hata mitaani!

DILLY iombee TZ na majanga yasiyoisha!

 
 
       Jumla kuna maoni (6), Soma maoni yote
Unakaribishwa kuchangia maoni yako
Jina Lako    *
Maoni Yako *
 
*** Unaruhusiwa kutuma maoni yako yoyote yale. Tafadhali tumia lugha nzuri, maoni yenye kukashifu watu na yasiyofaa kwa jamii hayataruhusiwa. ***

*** Maoni yanayotolewa hapa ni mawazo binafsi ya Mtoa Maoni
Nifahamishe.com Haihusiki na maoni yatakayotolewa ***
Habari zaidi za Tanzania
> VIDEO ya Salamu za EID MUBARAK Toka Nifahamishe.Com
> Mzungu wa Mtibwa Afukuzwa Nchini Kwa Lugha Chafu
> Kesi ya Rama yahamishiwa Mahakama Kuu
> Wanawake tumieni fursra hii
> Walimu 14 mbaroni kwa wizi wa mitihani, Songea, Mwanza
> Polisi kwa kete 300 za bangi
> Tani za mtama usiofaa wakamatwa Zanzibar
> Jeshi la Polisi laimarisha ulinzi Kariakoo
> Tendwa atupilia mbali pingamizi la Chadema
> Aangua kilio baada ya kutapeliwa- Kar iakoo
> Sheria isipofata mkondo wake, nitaandaa maandamano-Baswalehe
> Darasa la 7 waanza mitihani leo
> Askofu Awaponda Wanaomtukana Kikwete
> Kampeni zachachamaa, wapinzani nao watoa ahadi
> JK aendelea kutoa ahadi
> Pingamizi la Chadema baada ya siku 5
> Chadema yawasilisha pingamizi
> Wanafunzi waweweseka Tabata
> Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma yateketea
> Ramli ya Joseph ilisema hivi!
> 7 papohapo, wengine majeruhi ajalini- Mabibo
> Makahaba msipotoshe vazi hili!
> Sakata la kugombania maiti bado tata
> Mahakamani kwa kujipatia ngono kwa njia ya madawa ya kulevya
> Chadema yamuwekea pingamizi Kikwete

...Habari Zaidi

 

Advertisements
Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
Habari Zilizosomwa Sana
1 Kanisa Lasisitiza Kuchoma Mot...
2 VIDEO - Simba Alipomgeuza Asu...
3 Kelele za Kimahaba Zamponza
4 Mzungu wa Mtibwa Afukuzwa Nch...
5 Kesi ya Rama yahamishiwa Maha...
6 Wanawake tumieni fursra hii
7 Walimu 14 mbaroni kwa wizi wa...
8 Viagra Ya Saudi Arabia Yazua ...
9 Hatimaye Kanisa Laahirisha Ku...
10 VIDEO ya Salamu za EID MUBARA...
Photo Gallery
Photo Album

 Ukisikia Wazazi bomu
Random Photo

 Duh pole sana
Habari Mpya Mpya
> VIDEO ya Salamu za EID MUBARAK Toka Nifahamishe.Com
> Hatimaye Kanisa Laahirisha Kuchoma Moto Quran
> Viagra Ya Saudi Arabia Yazua Mzozo
> Mzungu wa Mtibwa Afukuzwa Nchini Kwa Lugha Chafu
> Kesi ya Rama yahamishiwa Mahakama Kuu
> Wanawake tumieni fursra hii
> Walimu 14 mbaroni kwa wizi wa mitihani, Songea, Mwanza
> Kanisa Lasisitiza Kuchoma Moto Quran Jumamosi
> Kelele za Kimahaba Zamponza
> VIDEO - Simba Alipomgeuza Asusa Mkufunzi Wake