Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
   
 
Member's Login
Username
Password
Not a member? Sign Up
            Sign Out

 
 
Mtoto wa Miaka 9 Ajifungua Mtoto


Monday, February 08, 2010 2:18 AM
Msichana mwenye umri wa miaka 9 wa nchini China ameingia kwenye rekodi ya akina mama wenye umri mdogo sana duniani baada ya kujifungua mtoto wa kike mwenye uzito wa kilo 2.7.
Msichana huyo mwanafunzi mwenye umri wa miaka 9 alijifungua mtoto wake wa kike kwenye hospitali moja katika mji Changchun, katika jimbo la Jilin nchini China.

Msichana huyo alijifungua mtoto huyo kwa njia ya operesheni wakati mimba yake ikiwa na muda wa miezi minane na nusu.

Gazeti la The City Evening News la nchini China limeripoti kuwa msichana huyo na mwanae wote wana afya njema hivi sasa lakini wazazi wa msichana huyo wamepeleka malalamiko yao polisi.

Kwa mujibu wa sheria za China, kujamiiana na mtoto mwenye umri chini ya miaka 14 kunahesabika kama kosa la ubakaji.

Msichana huyo wa China ameingia kwenye orodha ya akinana mama wa duniani wenye umri mdogo sana. Msichana mwenye umri mdogo kuliko wote duniani kujifungua mtoto ni Lina Medina, wa nchini Peru, ambaye alijifungua mtoto akiwa na umri wa miaka mitano mwaka 1939.

Serikali ya China imekuwa ikiendesha kampeni nchi nzima kupunguza idadi ya mimba katika umri mdogo kwa kuzipiga marufuku tovuti zote zenye picha au video za ngono.

Wanafunzi wa shule za sekondari wamekuwa wakisimamishwa shule wanapogundulika wanajihusisha na vitendo vya ngono.

Hata hivyo kumekuwa na ongezeko kubwa la wanafunzi wanaotoa mimba kiasi cha kwamba hospitali moja ya mjini Shanghai ilisema kuwa theluthi ya wanawake wanaotoa mimba kwenye hospitali hiyo ni wanafunzi.

 
    
Mtumie Rafiki Yako
  Comments    Add your Comment

Mtoa Maoni: Semenya    Monday, February 08, 2010 07:57:30   
 
Hawa wari wa sikuizi mm kusema kweli ata siwaelewi kabsaaaa!!!
 
 
Mtoa Maoni: KING    Monday, February 08, 2010 09:15:20   
 
Astaghaffullah..........hii dunia ina mambo ya ajabu sana. Binti wa miaka 9 kuzaa? Na tena twaambiwa yupo anayeshikiria record kwa kuzaa na miaka 5? Hv hiyo midume inawezaje kuvua ch**i zao mbele ya watoto wa umri huo? Hapana, huu ni ufirauni mkubwa kabisa. Ni ukatili wa kupitiliza utu wa mwanadamu. Kweli kuliingiza d**u lako katika ny*ti za binti wa jinsi hii c ni sawa tembo kutembea na sungura? Hayakubaliki haya........HATUA KALI ZA KISHERIA ZICHUKULIWE KWA MBAKAJI HUSIKA!
 
 
Mtoa Maoni: MINA    Monday, February 08, 2010 11:39:33   
 
HAAAA sEMENYA WARI ni nini hebu nitoe mchanga wa macho pls.. sasa uyu ana miaka 9 ana mtoto kana kwamba ameanz akufanya mapenzi akiwa na miaka 5, pia hapa lazima kutakuwa kuna chanzo sio bure mana aiwezekani na hao wazazi ndio wanastuka sasa hivi wakati wameshapata mjuu? MOMSO16 pls take na binti yetu asije akabebeshwa mzigo mana ndio kwanza std 6, UBUGUVU mzungu ulizaa nae akiwa na miaka mingapi?
 
 
Mtoa Maoni: Mariam    Monday, March 01, 2010 10:38:26   
 
jamani na kwa hili nani alaumiwe?aliyempa mimba,mtoto mwenyew au wazazi? mwnaume aliyempa mimba nadhani atakuwa na mtindio wa ubongo kwani m2 mweny akili timamu hawezi kafanya ukaili wa namna hiyo. haya nyie wazazi siku zote hamkwenda polisi mlikuwa wap leo ndio mnakurupuka? au mlidhani mtoto wenu alikuwa na utapiamlo?
 
 
      
Unakaribishwa kuchangia maoni yako
Jina Lako    *
Maoni Yako *
 
*** Unaruhusiwa kutuma maoni yako yoyote yale. Tafadhali tumia lugha nzuri, maoni yenye kukashifu watu na yasiyofaa kwa jamii hayataruhusiwa. ***

*** Maoni yanayotolewa hapa ni mawazo binafsi ya Mtoa Maoni
Nifahamishe.com Haihusiki na maoni yatakayotolewa ***
More life style news and articles
> Urefu Wasababisha Aache Shule ya Msingi
> VIDEO - Nywele Zilizokatiwa Bima ya Dola Milioni 1
> Kweli Mapenzi Hayana Umri...
> Mtoto Mnene Kuliko Wote Duniani
> Maisha Yake Yapo Hatarini Iwapo Atalala
> Utamu na Faida za Tende
> Madada Wanne Wazaa Watoto Wanne Ndani ya Siku Nne
> Babu Aota Mmea wa Njegere Kwenye Mapafu
> Akataa Tsh. Milioni 500 Ili Asiolewe
> Auza Bikira Yake Kwa Tsh. Milioni 500
> 'Mwanaume Mjamzito' Kujifungua Mtoto wa Tatu
> Operesheni za Kurudisha Bikira Zawa Dili Uingereza
> Matiti Yapigwa Pasi Ili Kuzuia Watoto Wasibakwe
> Inakuwaje Wanigeria Wakazaa Mtoto Mzungu?
> VIDEO - Apewa Mkong'oto na Kuozeshwa Mke Kinguvu
> Mrembo Mwenye Matiti Makubwa Kuliko Wote Duniani Apigania Maisha Yake
> Mjadala wa Yai na Kuku Kipi Kilianza Wapata Jibu la Kisayansi
> Nyota wa Filamu za Ngono Anapokuwa Mwalimu wa Sekondari..
> Keki ya Bethidei Kutimiza Miaka 130
> VIDEO - Mtoto Azaliwa na Sura Yenye Kinyago China
> Ili Asifariki Analazimika Kula Kila Baada ya Dakika 15
> Afariki Baada ya Kupewa Taarifa ya Kifo Chake
> Watu Wafupi Wako Kwenye Hatari ya Kufa Kwa Magonjwa ya Moyo
> Hatimaye Sio Mungu Tena..
> Baada ya Ajali Mtoto wa Miaka 3 Awa Chapombe na Mvutaji Sigara

...Habari Zaidi

 

Advertisements
Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
Habari Zilizosomwa Sana
1 'Yesu Alikuwa ni Muathirika w...
Photo Gallery
Photo Album

 Ukisikia Wazazi bomu
Random Photo

 Ashakum
Habari Mpya Mpya
> 'Yesu Alikuwa ni Muathirika wa Ukimwi'
> PICHA - Mapenzi Yanaua..
> Askofu Awaponda Wanaomtukana Kikwete
> Siri ya Kimada Yafichuka
> Ajinyonga Baada ya Kunyimwa Mkopo
> VIDEO - Mwanaume Anayemchezea Simba Sharubu
> Kampeni zachachamaa, wapinzani nao watoa ahadi
> JK aendelea kutoa ahadi
> Pingamizi la Chadema baada ya siku 5
> Urefu Wasababisha Aache Shule ya Msingi