Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
   
 
Member's Login
Username
Password
Not a member? Sign Up
            Sign Out

 
 
Nyota wa Marekani Atumia Viagra Kuinusuru Ndoa Yake


Michael Douglas akiwa na mkewe Catherine Zeta-Jones
Saturday, January 23, 2010 1:58 AM
Nyota wa sinema za kimarekani Michael Douglas mwenye umri wa miaka 65 amekiri kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume VIAGRA ili asikimbiwe na mkewe kijana.
Nyota wa Hollywood, Michael Douglas mwenye umri wa miaka 65 amekiri kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume ili kuongeza ufanisi wake kitandani kukabiliana na mkewe kijana ambaye amemzidi miaka 25.

Douglas amekiri kutumia Viagra na Cialis kuongeza nguvu zake za kiume ili kuweza kumtimizia haja zake mkewe Catherine Zeta-Jones.

"Nashukuru Mungu anapenda wanaume waliokula chumvi nyingi", alisema Douglas.

Douglas alizimwagia sifa Viagra kuwa zimewafanya wazee wawe na nguvu kama vijana.

Douglas alifunga ndoa na Catherine miaka 10 iliyopita na wamefanikiwa kupata watoto wawili.

 
    
Mtumie Rafiki Yako
  Comments    Add your Comment

Mtoa Maoni: mwacheni    Saturday, January 23, 2010 02:21:23   
 
enjoy babe
 
 
Mtoa Maoni: Semenya    Saturday, January 23, 2010 03:56:48   
 
Ndio raha ya kuishi hollywood maisha unaendesha unavyotaka. BHAI bongo hana jinsi angerembewa kama VCR mama akaanza kutumia CD mitindo ya kileo.
@UBUGUVU kaka wewe vp? usizidishe dozi ukawa kama cris rock kwenye 'I THINK I LOVE MY WIFE' kala kidonge kimoja tu ninihiiii!!!! ikawa nanihiiii!!!! mpaka akapelekwa hospitali.

 
 
Mtoa Maoni: mdau    Saturday, January 23, 2010 05:52:50   
 
mhhh makubwa
 
 
Mtoa Maoni: Ubuguvu    Saturday, January 23, 2010 11:12:40   
 
Mimi sioni kama sifa au busara mtu mzima kama huyu amajisifia anatumia madawa huko ndiyo kuishiwa na huyu mwanamke tamaa ya pesa ndiyo inayo mueka tu hapo sababu ninavyosikia lkn sina uhakika MINA kama unajua utatusaidia wanaume wanaotumia madawa ktk kulinda ndoa zao wanatumia siri ili wake zao wasijue huyu jamaa anajisifu mbele ya mkewe anajua mkewe hatofanya kitu Semenya mimi naogopa danawa sana hapa kama nakula panado basi nalishwa na..... Wangu kama kuna mtu hajawi kutumia viagra kama mimi basi bora asitumie vgr inaongeza tu nguvu kama mashine imeshakufa vgr haina kazi labda uifunge misumali
 
 
Mtoa Maoni: Dilly    Saturday, January 23, 2010 15:17:27   
 
Moms016 mi sikuachi hata uwe hauna nguvu kabisaaaaa
 
 
       Jumla kuna maoni (7), Soma maoni yote
Unakaribishwa kuchangia maoni yako
Jina Lako    *
Maoni Yako *
 
*** Unaruhusiwa kutuma maoni yako yoyote yale. Tafadhali tumia lugha nzuri, maoni yenye kukashifu watu na yasiyofaa kwa jamii hayataruhusiwa. ***

*** Maoni yanayotolewa hapa ni mawazo binafsi ya Mtoa Maoni
Nifahamishe.com Haihusiki na maoni yatakayotolewa ***
Habari zaidi za burudani
> VIDEO - Si Uchawi ni Mazoezi tu..
> 'Wanamuziki wa Bongo Flava Tungeni Nyimbo zenye Ujumbe'
> 'Miss Kibonge' Apatikana Italia
> Lundega: Miss Tanzania mwaka huu balaa
> Fella Ageukia Qaswida
> Mwisho Arudi kwa Kishindo Big Brother
> Mrembo wa Temeke Apatikana
> Ukimwi na Ushoga Ndani ya Radio Clouds ?
> VIDEO - Chris Brown Adaiwa Kujiliza Jukwaani
> VIDEO - Mtoto Aliyezua Gumzo Kwenye YouTube
> Chris Brown Anyimwa Viza ya Uingereza
> 50 Cent Choka Mbaya, Ukimuona Huwezi Kumtambua
> Burudani Time - Nyama ya Bata
> Mwarabu Kuiwakilisha Marekani Mashindano ya Urembo ya Dunia
> Mrembo Mpya wa IFM Apatikana
> Burudani Time - Angalia Mkuki Usikuchome
> Saleh Kupaza: ‘mchawi’ Aliyepewa Mwana kulea Twanga Pepeta
> 'Nipigie' ya AT Kuingia Sokoni
> Ali Choki na Kupaza Kukumbushia Enzi Zao
> TID na Ali Kiba Nani Mkali Kujulikana Jumapili
> Huku Mvua Ikinyesha, Mzee Yusuf Alamba Alamba Aaaamm...
> VIDEO - 'Tozi wa Mbagala' Kuingia Sokoni Mwezi Ujao
> Nyota wa Bongo Star Search Ajiunga na Mjomba Band
> Kapuya Aweka Uwaziri Pembeni na Kuanza Kupekecha
> Rihanna Amwaga Radhi Kwenye Bethidei Yake

...Habari Zaidi

 

Advertisements
Namabengo Computer Repairing Services Call: 0762-486583 0r 0712-409641
Habari Zilizosomwa Sana
1 'Yesu Alikuwa ni Muathirika w...
Photo Gallery
Photo Album

 Ukisikia Wazazi bomu
Random Photo

 Ashakum
Habari Mpya Mpya
> 'Yesu Alikuwa ni Muathirika wa Ukimwi'
> PICHA - Mapenzi Yanaua..
> Askofu Awaponda Wanaomtukana Kikwete
> Siri ya Kimada Yafichuka
> Ajinyonga Baada ya Kunyimwa Mkopo
> VIDEO - Mwanaume Anayemchezea Simba Sharubu
> Kampeni zachachamaa, wapinzani nao watoa ahadi
> JK aendelea kutoa ahadi
> Pingamizi la Chadema baada ya siku 5
> Urefu Wasababisha Aache Shule ya Msingi