Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
   
 
Member's Login
Username
Password
Not a member? Sign Up
            Sign Out

 
 
VIDEO - Msichana wa India Anayevuja Damu Mara 50 Kwa Siku


Twinkle Dwivedi katika hali yake ambayo humtokea kila siku takribani mara 50
Thursday, January 21, 2010 2:17 AM
Msichana Twinkle Dwivedi mwenye umri wa miaka 14 wa nchini India anasumbuliwa na ugonjwa ambao umewafanya madaktari wakune vichwa sana bila majibu. Mwili wa Twinkle huvuja damu mara 50 kwa siku kupitia kwenye macho yake, pua, masikio na kwenye nyayo zake.
Bila ya kuwa na kidonda chochote wala mchubuko wowote, msichana wa kihindi Twinkle Dwivedi, 14, huvuja damu mara 50 kwa siku.

Twinkle hutoa machozi ya damu, damu humiminika toka kwenye kichwa chake, shingoni, masikioni, puani na kwenye nyayo zake.

Kutokana na kupoteza damu nyingi sana zinazovuja bila sababu yoyote kupitia kwenye ngozi yake, Twinkle aliwahi kuwekewa dripu ya damu.

"Huwa sisikii maumivu yoyote wakati damu zinapoanza kuchuruzika lakini hunifanya niwe mchovu na wakati mwingine huwa na maumivu ya kichwa", alisema Twinkle.

Dr George Buchanan, daktari mtaalamu wa masuala ya damu toka Marekani alisafiri hadi India kwenda kujaribu kugundua ni kitu gani kinachomsibu Twinkle.

Dokta Buchanan alibaki hana jibu la kutoa baada ya kushuhudia damu zikivuja toka kichwani na kwenye viganja vya mikono ya Twinkle bila ya Twinkle kuwa na mchubuko wowote.

Wataalamu wanaomfanyia uchunguzi Twinkle kujua kinachomsibu wamepanga kuweka kamera za ulinzi zitakazomrekodi Twinkle kwa ukaribu zaidi ili kujua jinsi damu hizo zinavyoanza kutoka kwenye ngozi yake.

Mwaka jana kijana wa Kimarekani Calvino Inman, 16, toka Rockwood, Tennessee, naye alianza kutoa machozi ya damu na hadi sasa anaendelea kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wake ambao haujajulikana ni ugonjwa gani.

Chini ni VIDEO inayomuonyesha Twinkle akivuja damu toka sehemu mbali mbali za mwili wake.


VIDEO - Msichana wa India Anayevuja Damu Mara 50 Kwa Siku





 
    
Mtumie Rafiki Yako
  Comments    Add your Comment

Mtoa Maoni: moms016    Thursday, January 21, 2010 02:37:06   
 
Oh masikini Twinkle pole sana kwa majaribio uliyopata. Na Mungu atakuwa nanyi, pole sn.
W`damu tuna udhaifu wa kila aina na hii yute inathibitisha kuwa ni wanyonge wa kukabiliana na majanga sawa yawe ya tabia (natural mfn Haiti na kwengineko)au hk ktk maumbile yetu (mfn wa hy msichana mrembo wa kina BHAI).
Nina imani utajulikana ni ugonjwa gani na watapoa Kwa Nguvu za Mola.

{Ugonjwa huu kwa kihindi unaitwa "chancharhe hamko" yaani kuvujwa damu nyingi bila 7bu au vp BHAI?}

 
 
Mtoa Maoni: m2 mzima berny    Thursday, January 21, 2010 08:58:38   
 
dah.pole sana twinkle,ni kweli kabisa moms016 kila mtu anasumbuliwa na tatizo la kila aina unaweza ukajiona kuwa wewe ndo Mungu amekusahau kwa matatizo uliyonayo lakini kumbe kuna watu wana matatizo zaidi yako.kwa mfano huyu ccta,ni kweli anasikitisha ukizingatia kuwa madaktari wenyewe wanachemka.MUNGU mkumbuke dada yetu katika ugonjwa wake.amina.ubuguvu,bhai,ccta mina tuungane pamoja kumuoombea twinke.ni hayo 2.
 
 
Mtoa Maoni: Ubuguvu    Thursday, January 21, 2010 11:00:26   
 
Pole sana watalam wa damu kutoka dunia kote waungane kutafuta ufumbuzi wa hili tatizo na sisi tuombe mungu awafanikishe madaktari wapate dawa yake haraka M2 Mzima berny sijui upo wapi lakini Marekani kama utakua na mgonjwa hukumpeleka hospitali akawa upo nayo kwako unamuombea akifa unashitakiwa kwa kosa la mauaji uwe unaomba kwa imani yoyote ile Tz sisi tungewaka mtu akifa kwa mganga wa kienyeji mganga na aliempeleka wote wanashtakiwa hii itasaidia kupunguza hao wanaojita waganga wakati hawana taluma yoyote ya uganga
 
 
Mtoa Maoni: Bhai.    Thursday, January 21, 2010 12:21:58   
 
Pole sana Twinkle Dwivedi M/MUNGU tampa zima ISHAALLAH.
 
 
Mtoa Maoni: Dilly    Thursday, January 21, 2010 15:39:48   
 
Mwenyezi Mungu atakuponta Dada yetu. Mwombe sana Mungu..
Nakutakia kila lililojema na zaidi sana upone mapema mpendwa wangu

 
 
       Jumla kuna maoni (8), Soma maoni yote
Unakaribishwa kuchangia maoni yako
Jina Lako    *
Maoni Yako *
 
*** Unaruhusiwa kutuma maoni yako yoyote yale. Tafadhali tumia lugha nzuri, maoni yenye kukashifu watu na yasiyofaa kwa jamii hayataruhusiwa. ***

*** Maoni yanayotolewa hapa ni mawazo binafsi ya Mtoa Maoni
Nifahamishe.com Haihusiki na maoni yatakayotolewa ***
More life style news and articles
> Urefu Wasababisha Aache Shule ya Msingi
> VIDEO - Nywele Zilizokatiwa Bima ya Dola Milioni 1
> Kweli Mapenzi Hayana Umri...
> Mtoto Mnene Kuliko Wote Duniani
> Maisha Yake Yapo Hatarini Iwapo Atalala
> Utamu na Faida za Tende
> Madada Wanne Wazaa Watoto Wanne Ndani ya Siku Nne
> Babu Aota Mmea wa Njegere Kwenye Mapafu
> Akataa Tsh. Milioni 500 Ili Asiolewe
> Auza Bikira Yake Kwa Tsh. Milioni 500
> 'Mwanaume Mjamzito' Kujifungua Mtoto wa Tatu
> Operesheni za Kurudisha Bikira Zawa Dili Uingereza
> Matiti Yapigwa Pasi Ili Kuzuia Watoto Wasibakwe
> Inakuwaje Wanigeria Wakazaa Mtoto Mzungu?
> VIDEO - Apewa Mkong'oto na Kuozeshwa Mke Kinguvu
> Mrembo Mwenye Matiti Makubwa Kuliko Wote Duniani Apigania Maisha Yake
> Mjadala wa Yai na Kuku Kipi Kilianza Wapata Jibu la Kisayansi
> Nyota wa Filamu za Ngono Anapokuwa Mwalimu wa Sekondari..
> Keki ya Bethidei Kutimiza Miaka 130
> VIDEO - Mtoto Azaliwa na Sura Yenye Kinyago China
> Ili Asifariki Analazimika Kula Kila Baada ya Dakika 15
> Afariki Baada ya Kupewa Taarifa ya Kifo Chake
> Watu Wafupi Wako Kwenye Hatari ya Kufa Kwa Magonjwa ya Moyo
> Hatimaye Sio Mungu Tena..
> Baada ya Ajali Mtoto wa Miaka 3 Awa Chapombe na Mvutaji Sigara

...Habari Zaidi

 

Advertisements
Namabengo Computer Repairing Services Call: 0762-486583 0r 0712-409641
Habari Zilizosomwa Sana
1 'Yesu Alikuwa ni Muathirika w...
Photo Gallery
Photo Album

 Ukisikia Wazazi bomu
Random Photo

 Ashakum
Habari Mpya Mpya
> 'Yesu Alikuwa ni Muathirika wa Ukimwi'
> PICHA - Mapenzi Yanaua..
> Askofu Awaponda Wanaomtukana Kikwete
> Siri ya Kimada Yafichuka
> Ajinyonga Baada ya Kunyimwa Mkopo
> VIDEO - Mwanaume Anayemchezea Simba Sharubu
> Kampeni zachachamaa, wapinzani nao watoa ahadi
> JK aendelea kutoa ahadi
> Pingamizi la Chadema baada ya siku 5
> Urefu Wasababisha Aache Shule ya Msingi