Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
   
 
Member's Login
Username
Password
Not a member? Sign Up
            Sign Out

 
 
Mchezaji Mweusi wa Marekani Abadili Rangi ya Ngozi Yake


Sammy Sosa alivyokuwa mwanzo na sasa
Monday, January 18, 2010 4:58 AM
Mmarekani mweusi Sammy Sosa ambaye aliwika sana enzi zake kwenye mchezo wa Baseball amebadili rangi ya ngozi yake kutoka nyeusi kuwa nyeupe kama mzungu.
Mchezaji maarufu wa zamani wa Baseball, Sammy Sosa mwenye umri wa miaka 41 amejibadilisha rangi ya ngozi yake kuwa mweupe kama mzungu kwa kutumia krimu za kujichubua.

Sosa alianza kujichubua kuanzia mwaka 2007 na wiki iliyopita alionekana kwenye tuzo za Latin Grammy jijini Las Vegas akiwa hana tena rangi yake nyeusi ya kuonyesha asili yake ya Afrika.

Sosa alionekana mweupe kama mzungu na kwa watu ambao hawamfahamu ni vigumu kuamini alikuwa mweusi 'tii' zamani.

Sosa amesema kuwa nia yake kubadili rangi ya ngozi yake ni kutokana na mapenzi yake mwenyewe na si kumuiga marehemu mfalme wa muziki wa Pop, Michael Jackson.

Sosa amekiri pia kubadilika kwa rangi hakutokani na maradhi yoyote ya ngozi bali ni kutokana na krimu anayoitumia ambayo alisema ataipigia kampeni za kibiashara.

Hivi karibuni idadi ya watu weusi wanaojichubua nchini Marekani ili wakubalike katika soko la wazungu imezidi kuongezeka na wataalamu wa ngozi wanaonya kuwa matumizi ya krimu kujichubua ni hatari kwa afya.

Magonjwa mengi ya ngozi kama vile kansa ya ngozi yamekuwa yakihusishwa na madawa na krimu za kujichubua.
  GONGA HAPA KWA PICHA ZA SAMMY SOSA ALIVYOKUWA MWANZO NA SASA  

 
    
Mtumie Rafiki Yako
  Comments    Add your Comment

Mtoa Maoni: Tarimo    Monday, January 18, 2010 06:08:37   
 
watu weusi jamani tupende rangi yetu, maana ndo asili yetu.
dada zetu nyumbani nao wamechachamaa wawe weupe.
Mtapata kansa za ngozi jamani, shauri lenu!!!!
Rangi nyeusi kama weusi wa ardhi yenye rutuba ni alamna ya ("richness") utajiri, na si laana.



 
 
Mtoa Maoni: Bhai.    Monday, January 18, 2010 07:29:28   
 
BUGUVU kama iko kuja tebea bongo dugu yako yote pana iko jua wewe, sababu kuwa zungu jeupe na nyele yako iko tia hina dio onekana kama Clint Eastwood, moms016 mimi iko uza chokaa, kama taka tafazia discount wewe dugu yagu, lakini Manza Boy mpa bure pana lipa hela.
 
 
Mtoa Maoni: kaka hanyimwi    Monday, January 18, 2010 08:53:19   
 
huyo ni mpumbavu kwani ameona livyoumbwa na mungu kakosewa kwahiyo ameamua kujibadilisha ili aonekane mzungu
 
 
Mtoa Maoni: DeClarkes    Monday, January 18, 2010 09:53:49   
 
Huyo ana matatizo, sintoshangaa kama yu radhi kubadili jinsia yake. Ni utumwa wa fikra zaidi!
 
 
Mtoa Maoni: Ubuguvu    Monday, January 18, 2010 10:06:04   
 
Mimi nadhani ni maamuzi yao tu na si kukubalika katika soka sasa kama huyu ashaacha kucheza nini kimemfanya ajichubuwe ili ukubali lazi uwe na cha kukubalika kwanza sio rangi hii ni tabia ya mtu mwenyewe tunaona wanamuzi wa congo na madancer wao wanajichubua na hukuna mzungu kule wapo weusi watupu na kunamcheza moja wa congo anacheza ktk NBA anaitwa Mutombo hajabadilisha rangi na anagombewa KING na MOMS016 muangalieni ktk youtube atembeni huspital yake ipo cmgo natamani hashim na yeye ajenge japo zahanati TZ Bhai mimi siwezi badilisha rangi shemeji yako anapenda sana rangi nyeusi labda Mina, kipara na dilly Osama al-aharith yeye kaliwana ila ukitaji vipodozi zaidi nitafute mazunga20@hotamil.com ntakusendi popote ulipo
 
 
       Jumla kuna maoni (19), Soma maoni yote
Unakaribishwa kuchangia maoni yako
Jina Lako    *
Maoni Yako *
 
*** Unaruhusiwa kutuma maoni yako yoyote yale. Tafadhali tumia lugha nzuri, maoni yenye kukashifu watu na yasiyofaa kwa jamii hayataruhusiwa. ***

*** Maoni yanayotolewa hapa ni mawazo binafsi ya Mtoa Maoni
Nifahamishe.com Haihusiki na maoni yatakayotolewa ***
More life style news and articles
> Kelele za Kimahaba Zamponza
> Urefu Wasababisha Aache Shule ya Msingi
> VIDEO - Nywele Zilizokatiwa Bima ya Dola Milioni 1
> Kweli Mapenzi Hayana Umri...
> Mtoto Mnene Kuliko Wote Duniani
> Maisha Yake Yapo Hatarini Iwapo Atalala
> Utamu na Faida za Tende
> Madada Wanne Wazaa Watoto Wanne Ndani ya Siku Nne
> Babu Aota Mmea wa Njegere Kwenye Mapafu
> Akataa Tsh. Milioni 500 Ili Asiolewe
> Auza Bikira Yake Kwa Tsh. Milioni 500
> 'Mwanaume Mjamzito' Kujifungua Mtoto wa Tatu
> Operesheni za Kurudisha Bikira Zawa Dili Uingereza
> Matiti Yapigwa Pasi Ili Kuzuia Watoto Wasibakwe
> Inakuwaje Wanigeria Wakazaa Mtoto Mzungu?
> VIDEO - Apewa Mkong'oto na Kuozeshwa Mke Kinguvu
> Mrembo Mwenye Matiti Makubwa Kuliko Wote Duniani Apigania Maisha Yake
> Mjadala wa Yai na Kuku Kipi Kilianza Wapata Jibu la Kisayansi
> Nyota wa Filamu za Ngono Anapokuwa Mwalimu wa Sekondari..
> Keki ya Bethidei Kutimiza Miaka 130
> VIDEO - Mtoto Azaliwa na Sura Yenye Kinyago China
> Ili Asifariki Analazimika Kula Kila Baada ya Dakika 15
> Afariki Baada ya Kupewa Taarifa ya Kifo Chake
> Watu Wafupi Wako Kwenye Hatari ya Kufa Kwa Magonjwa ya Moyo
> Hatimaye Sio Mungu Tena..

...Habari Zaidi

 

Advertisements
Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
Habari Zilizosomwa Sana
1 Kanisa Lasisitiza Kuchoma Mot...
2 VIDEO - Simba Alipomgeuza Asu...
3 Kelele za Kimahaba Zamponza
4 Mzungu wa Mtibwa Afukuzwa Nch...
5 Kesi ya Rama yahamishiwa Maha...
6 Wanawake tumieni fursra hii
7 Walimu 14 mbaroni kwa wizi wa...
8 Hatimaye Kanisa Laahirisha Ku...
9 Viagra Ya Saudi Arabia Yazua ...
10 VIDEO ya Salamu za EID MUBARA...
Photo Gallery
Photo Album

 Ukisikia Wazazi bomu
Random Photo

 Duh pole sana
Habari Mpya Mpya
> VIDEO ya Salamu za EID MUBARAK Toka Nifahamishe.Com
> Hatimaye Kanisa Laahirisha Kuchoma Moto Quran
> Viagra Ya Saudi Arabia Yazua Mzozo
> Mzungu wa Mtibwa Afukuzwa Nchini Kwa Lugha Chafu
> Kesi ya Rama yahamishiwa Mahakama Kuu
> Wanawake tumieni fursra hii
> Walimu 14 mbaroni kwa wizi wa mitihani, Songea, Mwanza
> Kanisa Lasisitiza Kuchoma Moto Quran Jumamosi
> Kelele za Kimahaba Zamponza
> VIDEO - Simba Alipomgeuza Asusa Mkufunzi Wake