Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
   
 
Member's Login
Username
Password
Not a member? Sign Up
            Sign Out

 
 
VIDEO - Bibi wa Miaka 75 Awa Bingwa wa Kudansi


Bibi Jones akionyesha manjonjo yake katika mashindano ya kudansi
Saturday, December 12, 2009 12:51 AM
Umri haukuwa kikwazo kwa bibi wa Kiingereza mwenye umri wa miaka 75 ambaye kutokana na uwezo wake mkubwa wa kudansi aliwafunika vijana wote wa Hispania na kutwaa taji la ubingwa wa kudansi nchini humo.
Paddy Jones, bibi wa kiingereza anayeishi nchini Hispania alianza kupenda kudansi miaka mitano iliyopita baada ya mumewe kufariki, yaliripoti magazeti ya Uingereza.

Bibi Jones alikuwa mmoja wa washiriki wa mashindano makubwa ya kutafuta watu wenye vipaji nchini Hispania yanayokwenda kwa jina la Tu Si Que Vales.

Katika mashindano hayo makubwa yanayorushwa live na televisheni moja kubwa nchini Hispania, Bibi Jones alidansi pamoja na patna wake wa kiume mwenye umri wa miaka 35.

Bibi Jones aliwashangaza majaji na watu walioshuhudia Live mashindano hayo kwa miondoko yake ya dansi ambayo bila shaka vijana wengi hawawezi kuifanya. Aliweza kujizungusha kwa spidi huku akijirusha juu na kupita katikati ya miguu ya patna wake.

"Najiona mwenye bahati sana, naweza kudansi kama hivi, nafikiri itanibidi niendelee kudansi kwa miaka michache ijayo", alisema bibi Jones.

Chini ni VIDEO inayoonyesha jinsi Bibi Jones alivyolitwaa taji la kudansi.


VIDEO - Bibi wa Miaka 75 Awa Bingwa wa Kudansi





 
    
Mtumie Rafiki Yako
  Comments    Add your Comment

Mtoa Maoni: Mchafukoge    Saturday, December 12, 2009 02:41:11   
 
Haya bibi sis yetu macho hata kuinua kidole siwezi hongera sana, lkn angalia kijana huyo asije akabadili mawazo....akajisevia mzigo huo.

Haya BHAI, UBUGUVU, KING, MO,NK kazi kwenuu tena bibi karudi kijanaaaaa

 
 
Mtoa Maoni: mdau    Saturday, December 12, 2009 05:30:49   
 
wenzio umri huo wanatubu wewe ndio unaanza,ulikuwa wapi?haya kila mtu atabeba mzigo wake.
 
 
Mtoa Maoni: Bhai    Saturday, December 12, 2009 09:57:31   
 
iko zambi kuba sana kwa bibi,bagwan pana samehe yeye,yeye iko zee, lazima fanza ibada, ili bagwan napokea yeye wakati nakufa,au nasemaje mom016? katika
watu yote dani ya fahamishe.com. mimi peda sana mom016

 
 
Mtoa Maoni: Ubuguvu    Saturday, December 12, 2009 10:11:19   
 
Mashindano ya kutafuta vipaji inatakiwa washiliki wawe na umri chini ya miaka 20 sababu kipaji kisipo gunduliwa mapema kina kufu miaka 75 hawezi kufufua kipaji kilichokufa miaka 55 ilhyopita Huyu bibi kwa kua mumewe kafa anatafuta kija wakumstiri na ujane wake mimi naona kashinda sio kama ndiyo anajua sana kucheza ila kwa walioshiriki hapo basi yeye kidogo ndiyo anaafadhali anaweza kucheza na kwa kua haya mashindano lazi mmoja ashinde hakuna kutoka droo kama mashindayo ya umiss haya droo
 
 
Mtoa Maoni: DeClarkes    Saturday, December 12, 2009 12:23:27   
 
Namshangaa sana Bi Jones kwa vitabia vyake; kwanza kuwa na patna ambaye ni sawa na mwanawe wa miaka 35 na pili kuingilia mambo ya vijana. Aidha Bi jones ameezeeka mwili ila fikra ni za kitoto.
 
 
       Jumla kuna maoni (8), Soma maoni yote
Unakaribishwa kuchangia maoni yako
Jina Lako    *
Maoni Yako *
 
*** Unaruhusiwa kutuma maoni yako yoyote yale. Tafadhali tumia lugha nzuri, maoni yenye kukashifu watu na yasiyofaa kwa jamii hayataruhusiwa. ***

*** Maoni yanayotolewa hapa ni mawazo binafsi ya Mtoa Maoni
Nifahamishe.com Haihusiki na maoni yatakayotolewa ***
Habari zaidi za burudani
> VIDEO - Si Uchawi ni Mazoezi tu..
> 'Wanamuziki wa Bongo Flava Tungeni Nyimbo zenye Ujumbe'
> 'Miss Kibonge' Apatikana Italia
> Lundega: Miss Tanzania mwaka huu balaa
> Fella Ageukia Qaswida
> Mwisho Arudi kwa Kishindo Big Brother
> Mrembo wa Temeke Apatikana
> Ukimwi na Ushoga Ndani ya Radio Clouds ?
> VIDEO - Chris Brown Adaiwa Kujiliza Jukwaani
> VIDEO - Mtoto Aliyezua Gumzo Kwenye YouTube
> Chris Brown Anyimwa Viza ya Uingereza
> 50 Cent Choka Mbaya, Ukimuona Huwezi Kumtambua
> Burudani Time - Nyama ya Bata
> Mwarabu Kuiwakilisha Marekani Mashindano ya Urembo ya Dunia
> Mrembo Mpya wa IFM Apatikana
> Burudani Time - Angalia Mkuki Usikuchome
> Saleh Kupaza: ‘mchawi’ Aliyepewa Mwana kulea Twanga Pepeta
> 'Nipigie' ya AT Kuingia Sokoni
> Ali Choki na Kupaza Kukumbushia Enzi Zao
> TID na Ali Kiba Nani Mkali Kujulikana Jumapili
> Huku Mvua Ikinyesha, Mzee Yusuf Alamba Alamba Aaaamm...
> VIDEO - 'Tozi wa Mbagala' Kuingia Sokoni Mwezi Ujao
> Nyota wa Bongo Star Search Ajiunga na Mjomba Band
> Kapuya Aweka Uwaziri Pembeni na Kuanza Kupekecha
> Rihanna Amwaga Radhi Kwenye Bethidei Yake

...Habari Zaidi

 

Advertisements
Namabengo Computer Repairing Services Call: 0762-486583 0r 0712-409641
Habari Zilizosomwa Sana
1 'Yesu Alikuwa ni Muathirika w...
Photo Gallery
Photo Album

 Ukisikia Wazazi bomu
Random Photo

 Ashakum
Habari Mpya Mpya
> 'Yesu Alikuwa ni Muathirika wa Ukimwi'
> PICHA - Mapenzi Yanaua..
> Askofu Awaponda Wanaomtukana Kikwete
> Siri ya Kimada Yafichuka
> Ajinyonga Baada ya Kunyimwa Mkopo
> VIDEO - Mwanaume Anayemchezea Simba Sharubu
> Kampeni zachachamaa, wapinzani nao watoa ahadi
> JK aendelea kutoa ahadi
> Pingamizi la Chadema baada ya siku 5
> Urefu Wasababisha Aache Shule ya Msingi