Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
   
 
Member's Login
Username
Password
Not a member? Sign Up
            Sign Out

 
 
Miss Burundi Awafunika Warembo toka Afrika Mashariki


Mrembo toka burundi Bella Daniella Nzigamiye aliyekaa ndiye aliyevikwa taji la Miss East Africa Schengen 2009.
Wednesday, December 02, 2009 12:37 AM
Mrembo toka Burundi, Bella Daniella Nzigamiye amewafunika warembo wote wa Afrika Mashariki na kufanikiwa kutwaa taji la Mlimbwende wa Afrika Mashariki wa bara la ulaya kwa mwaka 2009.
Katika mpambano mkali wa warembo toka Afrika Mashariki wanaoishi barani Ulaya, mrembo toka burundi Bella Daniella Nzigamiye alivikwa taji la Miss East Africa Schengen 2009.

Katika usiku huo wa aina yake uliombatana na shoo za nguvu toka kwa wasanii mbali mbali wa muziki wa kizazi kipya, warembo toka Afrika Mashariki walichuana vikali kwa mavazi mbali mbali kuanzia yale ya kitamaduni mpaka ya kuogelea.

Pongezi za dhati inabidi zimuendee Promota CHARLES GADI na kundi zima la G Family ambao ndio waliokuwa na jukumu la kuhakikisha mchakato mzima wa kumtafuta mrembo wa mwaka 2009 unafanyika kwa ufanisi.

Mrembo toka Kenya alishika nafasi ya pili wakati mrembo toka Tanzania aliambulia nafasi ya tatu.
  GONGA HAPA KWA PICHA ZA MISS BURUNDI NA WENZAKE  

 
    
Mtumie Rafiki Yako
  Comments    Add your Comment

Mtoa Maoni: moms016    Wednesday, December 02, 2009 01:29:08   
 
Hivyo "me" tutaacha lini biashara ya kuwapiganisha vichwa "ke"?
Wote wazuri wanajitia uhayamani tu. "Me" kwa "ke" hana anachohitajia zaidi ya ile.. ile ninihilia ile...si ile.. sasa "ke" gani hana?
Acheni hizo!! mara moja!! ubaya wa "ke" upo iwapo anagawa kama pipi! au kaianika km karafuu..
MM nakataa falsafa ya "ke" mrembo maishani mwangu sijaona "ke" iko mbaya wote wamaumbika, sasa tuseme wale wenye miili mipana (minene) hawana urembo ama? mbona hatuwaoni au wao nanajulikana km "me"?

 
 
Mtoa Maoni: Nautiakasi    Wednesday, December 02, 2009 01:58:57   
 
moms016..hahahaha..eti kaianika kama karafuu, au labda tuseme makonyo, maana mvua jua hayaondolewi..hayana bei eti!
 
 
Mtoa Maoni: Bhai.    Wednesday, December 02, 2009 08:11:07   
 
moms016 ii Toto iko zuri mpa haki yake, iko kama ile pale faza Juice na ile kule faza Keki.
 
 
Mtoa Maoni: mpaukha    Wednesday, December 02, 2009 08:22:21   
 
huyu wa burundi mimi sikubaliani nae mpaka nipate uhakiki -lundenga alikuwepo haiwezekani"
 
 
Mtoa Maoni: mchokozi    Wednesday, December 02, 2009 09:41:38   
 
muone huyo miss miguu kama marungu ya mgambo meno kama anasifia dawa ya mswaki
 
 
       Jumla kuna maoni (8), Soma maoni yote
Unakaribishwa kuchangia maoni yako
Jina Lako    *
Maoni Yako *
 
*** Unaruhusiwa kutuma maoni yako yoyote yale. Tafadhali tumia lugha nzuri, maoni yenye kukashifu watu na yasiyofaa kwa jamii hayataruhusiwa. ***

*** Maoni yanayotolewa hapa ni mawazo binafsi ya Mtoa Maoni
Nifahamishe.com Haihusiki na maoni yatakayotolewa ***
Habari zaidi za burudani
> VIDEO - Si Uchawi ni Mazoezi tu..
> 'Wanamuziki wa Bongo Flava Tungeni Nyimbo zenye Ujumbe'
> 'Miss Kibonge' Apatikana Italia
> Lundega: Miss Tanzania mwaka huu balaa
> Fella Ageukia Qaswida
> Mwisho Arudi kwa Kishindo Big Brother
> Mrembo wa Temeke Apatikana
> Ukimwi na Ushoga Ndani ya Radio Clouds ?
> VIDEO - Chris Brown Adaiwa Kujiliza Jukwaani
> VIDEO - Mtoto Aliyezua Gumzo Kwenye YouTube
> Chris Brown Anyimwa Viza ya Uingereza
> 50 Cent Choka Mbaya, Ukimuona Huwezi Kumtambua
> Burudani Time - Nyama ya Bata
> Mwarabu Kuiwakilisha Marekani Mashindano ya Urembo ya Dunia
> Mrembo Mpya wa IFM Apatikana
> Burudani Time - Angalia Mkuki Usikuchome
> Saleh Kupaza: ‘mchawi’ Aliyepewa Mwana kulea Twanga Pepeta
> 'Nipigie' ya AT Kuingia Sokoni
> Ali Choki na Kupaza Kukumbushia Enzi Zao
> TID na Ali Kiba Nani Mkali Kujulikana Jumapili
> Huku Mvua Ikinyesha, Mzee Yusuf Alamba Alamba Aaaamm...
> VIDEO - 'Tozi wa Mbagala' Kuingia Sokoni Mwezi Ujao
> Nyota wa Bongo Star Search Ajiunga na Mjomba Band
> Kapuya Aweka Uwaziri Pembeni na Kuanza Kupekecha
> Rihanna Amwaga Radhi Kwenye Bethidei Yake

...Habari Zaidi

 

Advertisements
Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
Habari Zilizosomwa Sana
1 Kanisa Lasisitiza Kuchoma Mot...
2 VIDEO - Simba Alipomgeuza Asu...
3 Kelele za Kimahaba Zamponza
4 Mzungu wa Mtibwa Afukuzwa Nch...
5 Kesi ya Rama yahamishiwa Maha...
6 Wanawake tumieni fursra hii
7 Walimu 14 mbaroni kwa wizi wa...
8 Viagra Ya Saudi Arabia Yazua ...
9 Hatimaye Kanisa Laahirisha Ku...
10 VIDEO ya Salamu za EID MUBARA...
Photo Gallery
Photo Album

 Ukisikia Wazazi bomu
Random Photo

 Duh pole sana
Habari Mpya Mpya
> VIDEO ya Salamu za EID MUBARAK Toka Nifahamishe.Com
> Hatimaye Kanisa Laahirisha Kuchoma Moto Quran
> Viagra Ya Saudi Arabia Yazua Mzozo
> Mzungu wa Mtibwa Afukuzwa Nchini Kwa Lugha Chafu
> Kesi ya Rama yahamishiwa Mahakama Kuu
> Wanawake tumieni fursra hii
> Walimu 14 mbaroni kwa wizi wa mitihani, Songea, Mwanza
> Kanisa Lasisitiza Kuchoma Moto Quran Jumamosi
> Kelele za Kimahaba Zamponza
> VIDEO - Simba Alipomgeuza Asusa Mkufunzi Wake