|
|
|
Warembo wa East Africa Kuchuana kesho Uholanzi, Ray C kupagawisha |

Miongoni mwa mamiss watakaochuana kesho |
Friday, November 27, 2009 11:36 AM
Patakuwa hapatoshi kesho nchini Uholanzi wakati warembo toka Afrika Mashariki wanaoishi katika nchi za umoja wa ulaya watakapochuana kumtafuta malkia wao. |
Maandalizi ya MISS EAST AFRICA SCHENGEN 2009 yamekamilika, kesho jumamosi ya tarehe 28/11/2009 patakuwa hapatoshi nchini Uholanzi kwani pamoja na mashindano hayo ya kumpata mrembo wa Afrika mashariki wa ughaibuni pia kutakuwa na show maalum ambapo msanii maarufu wa Tanzania alie na washabiki wengi Afrika ya mashariki na ulaya RAY C atapagawisha kwa miondoko ya Bongo flava.
Mashindano ya kumtafuta mrembo wa Afrika ya mashariki yatahudhuriwa pia na Mabalozi wa nchi za Afrika mashariki yaani, TANZANIA, KENYA, UGANDA, BURUNDI na RWANDA.
Kwa maelezo zaidi tembelea
www.tnzncommunity.blogspot.com
Gonga link chini kwa picha za baadhi tu ya warembo washiriki wa mashindano hayo. |
|
  GONGA HAPA KWA PICHA ZA WAREMBO HAO   |
|
|
|
|
|
|
|
|
Mtoa Maoni:
Ubuguvu
Friday, November 27, 2009 12:51:45
|
|
Mtoa Maoni:
Nyoshi
Friday, November 27, 2009 16:21:54
|
|
Mtoa Maoni:
mchokozi
Sunday, November 29, 2009 08:57:16
|
|
Mtoa Maoni:
Msema kweli IRL
Sunday, January 24, 2010 20:12:58
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Habari zaidi za burudani |
...Habari Zaidi
|
|
Advertisements

|
|
Habari Zilizosomwa Sana |
|
|
|
|
| Photo Gallery |
 |
|
|
 |
|
|
|
|
|
|
|