Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
   
 
Member's Login
Username
Password
Not a member? Sign Up
            Sign Out

 
 
'Watanzania ni Wakarimu, Nitarudi Tena ' - Busta Rhymes


Busta Rhymes akichengua wabongo kwenye Fiesta
Tuesday, November 24, 2009 8:00 AM
MSANII mkongwe wa Hip Hop kutoka Marekani, Busta Rhymes amesema kuwa ameridhishwa na ukarimu wa Watanzania hali inayomfanya afikirie kuitangaza Tanzania kwa wasanii wenzake wa nje kuja nchini.
MSANII mkongwe wa Hip Hop kutoka Marekani, Busta Rhymes amesema kuwa ameridhishwa na ukarimu wa Watanzania hali inayomfanya afikirie kuitangaza Tanzania kwa wasanii wenzake wa nje kuja nchini.

Busta Rhymes alikuwa jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mwaliko wa kuwa moja ya wasanii wa kutumbuiza katika tamasha la Fiesta la mwaka huu lililofanyika jumamosi katika viwanja vya Chuo cha Posta.

Mara baada ya kupanda jukwaani na kutakiwa azungumze kidogo, Mwanahip hop huyo maarufu duniani alisema "Sikutegemea kuwa Watanzania wanapenda muziki, ni wakarimu, na hii inanifanya niwakumbuke zaidi na zaidi nikirejea Marekani".

Alisema, atafanya kila analoliweza kuitangaza Tanzania kimuziki, na hata kuwavutia wanamuziki wenzake wakubwa, wakiwemo 50 Cent na Jay Z kuja kwa ajili ya onyesho, ikiwezekana katika onyesho lijalo la Fiesta.

Licha ya msanii huyo kuchelewa kupanda jukwaani, aliweza kutumbuiza zaidi ya saa moja huku akiwa na wasaidizi wake na kuufanya umati uliofika hapo kumshangilia kwa nguvu.

Busta alishangiliwa zaidi pale alipoimba vibao vyake ambavyo vimezoeleka katika masikio ya wapenda muziki kama `Make it Clap` na `Arab money'.

Mbali na nyota huyo kutoka Marekani, onyesho hilo pia lilipambwa na wasanii mbalimbali wa hapa nchini.
  GONGA HAPA KUONA JINSI BUSTA RHYMES ALIVYOCHENGUA WABONGO  

 
Na Kaimanzila, Dar    
Mtumie Rafiki Yako
  Comments    Add your Comment

Mtoa Maoni: Ubuguvu    Tuesday, November 24, 2009 09:06:01   
 
Busta kaimba nyimbo ya Arab maney ndani ya ukumbi uliojaa walive na nyimbo hiyo kuna vipande ananuku Qur-an vipi walendugu zangu wananihi au hawakuepo? mimi nakubaliana na busta WaTZ wakarimu sana ila hali ngumu ya maisha ndiyo inayowamfanya washindwe kuendelea na hali hiyo waliyo ilithi kutoka kwa wazeo. lakini wa bongo tumezidi kupenda vitu vikubwa marekani mtu anazee hajamuona 50 cent live amuona ktk tv tu na 50 cent mimi naona bora asije tena asiwambukize watu tambia baya yakumiliki wanawake na kuaza kama tomato marueu kama PIMP au pande
 
 
Mtoa Maoni: DeClarkes    Tuesday, November 24, 2009 14:31:58   
 
Nadhani huyu busta rhythm amepata zaidi ya alichotegemea. Ushishangae kesho ukaona picha zake na mabinti wa bongo wakivinjari. Hawa wamarekani wanaposema kwamba watu ni wakarimu mara nyingi ni maswala ya starehe na ngono. Ee bwana angempata yule mwanafunzi wa Tumaini - Susana Nipa?
 
 
Mtoa Maoni: KING    Wednesday, November 25, 2009 11:56:15   
 
Naaaam Busta, hakika wa-Tz ni wakarimu. Karibu tena Tz!
 
 
Mtoa Maoni: mally    Wednesday, November 25, 2009 17:23:59   
 
huyo kapata alicho kitaka kama ngono ndio maana anasifia tanzania tunasubiri magazeti ya udaku sitaona ukarimu huo eti basta kasifia tanzania kuna nini hadi asifie
 
 
Mtoa Maoni: Msema kweli IRL    Sunday, January 24, 2010 20:57:48   
 
Angalia sana Basta wasije wakakupora chein hao mwenzio 50 Cent chein yake hadi leo haelewi alitolewa vip kifuni
 
 
      
Unakaribishwa kuchangia maoni yako
Jina Lako    *
Maoni Yako *
 
*** Unaruhusiwa kutuma maoni yako yoyote yale. Tafadhali tumia lugha nzuri, maoni yenye kukashifu watu na yasiyofaa kwa jamii hayataruhusiwa. ***

*** Maoni yanayotolewa hapa ni mawazo binafsi ya Mtoa Maoni
Nifahamishe.com Haihusiki na maoni yatakayotolewa ***
Habari zaidi za burudani
> VIDEO - Si Uchawi ni Mazoezi tu..
> 'Wanamuziki wa Bongo Flava Tungeni Nyimbo zenye Ujumbe'
> 'Miss Kibonge' Apatikana Italia
> Lundega: Miss Tanzania mwaka huu balaa
> Fella Ageukia Qaswida
> Mwisho Arudi kwa Kishindo Big Brother
> Mrembo wa Temeke Apatikana
> Ukimwi na Ushoga Ndani ya Radio Clouds ?
> VIDEO - Chris Brown Adaiwa Kujiliza Jukwaani
> VIDEO - Mtoto Aliyezua Gumzo Kwenye YouTube
> Chris Brown Anyimwa Viza ya Uingereza
> 50 Cent Choka Mbaya, Ukimuona Huwezi Kumtambua
> Burudani Time - Nyama ya Bata
> Mwarabu Kuiwakilisha Marekani Mashindano ya Urembo ya Dunia
> Mrembo Mpya wa IFM Apatikana
> Burudani Time - Angalia Mkuki Usikuchome
> Saleh Kupaza: ‘mchawi’ Aliyepewa Mwana kulea Twanga Pepeta
> 'Nipigie' ya AT Kuingia Sokoni
> Ali Choki na Kupaza Kukumbushia Enzi Zao
> TID na Ali Kiba Nani Mkali Kujulikana Jumapili
> Huku Mvua Ikinyesha, Mzee Yusuf Alamba Alamba Aaaamm...
> VIDEO - 'Tozi wa Mbagala' Kuingia Sokoni Mwezi Ujao
> Nyota wa Bongo Star Search Ajiunga na Mjomba Band
> Kapuya Aweka Uwaziri Pembeni na Kuanza Kupekecha
> Rihanna Amwaga Radhi Kwenye Bethidei Yake

...Habari Zaidi

 

Advertisements
Tangaza Hapa Email: sales@nifahamishe.com
Habari Zilizosomwa Sana
1 'Yesu Alikuwa ni Muathirika w...
Photo Gallery
Photo Album

 Ukisikia Wazazi bomu
Random Photo

 Ashakum
Habari Mpya Mpya
> 'Yesu Alikuwa ni Muathirika wa Ukimwi'
> PICHA - Mapenzi Yanaua..
> Askofu Awaponda Wanaomtukana Kikwete
> Siri ya Kimada Yafichuka
> Ajinyonga Baada ya Kunyimwa Mkopo
> VIDEO - Mwanaume Anayemchezea Simba Sharubu
> Kampeni zachachamaa, wapinzani nao watoa ahadi
> JK aendelea kutoa ahadi
> Pingamizi la Chadema baada ya siku 5
> Urefu Wasababisha Aache Shule ya Msingi