|
|
|
Maadili yazidi kuporomoka Tanzania |

|
Monday, February 08, 2010 11:28 AM
KATIKA hali ya kuonekana ni ukosefu wa adabu ulioshamiri katika baadhi ya maeneo ya jijini Dar es Salaam wapenzi wawili wamejikuta wakishindwa kuvumilia matamanio ya kimapenzi na kujikuta wakifanya mapenzi baa bila kujitambua |
Hali hiyo ilibidi baadhi ya wastaarabu walioko eneo hilo kuondoka na wengine wakiacha vinywaji vyao mezani na kuwapisha wawili hao waendelee na shughuli yao hiyo mahali hapo.
Tukio hilo tunaweza kusema ni la aina yake lilitokea jana maeneo ya Namnana Baa huko maeneo ya Mabibo jijini Dar es Salaam, mishale ya saa 11:48 usiku.
Watu hao ambao walikuwa wamekaa kwa muda mrefu katika baa hiyo wakipata vinywaji hatma yake iliishia wakijikuta wakiangushana chini baada ya kuzidiwa kwa hali ya kimapenzi.
Wapenzi hao ambao walishangaza watu kwa kujiuliza maswali kuwa walikuwa wameishiwa fedha ya kwenda kukodisha chumba katika moja ya nyumba za wageni au walikuwa wamezidiwa na pombe haikueleweka maramoja kwa wale waliojiuliza na maswali hayo.
Wapenzi hao walionekana wakifanya mapenzi katika viti na baadae kujisahau kama walikuwa mahali hapo na kuendelea na mchezo huo wakiwa hapohapo bila kujitambua walikuwa baa na kujikuta baadhi ya watu waliokuwa wamekaa karibu na wapenzi hao kuondoka mahali hapo.
Mmoja wa wahudumu wa baa hiyo alikwenda katika meza hiyo kwa ajili ya kwenda kuangalia kama walikuwa wanahitaji kuongezewa kinywaji kwa muda huo na kukuta hali na muhudumu huyo kuwatonya baadhi ya wahudumu wenzie na ndipo watu wengine waliweza kugundua kuwa kuna wawili walikuwa wanapeana starehe mahali hapo.
Kutokana na hali hii imedhihirisha wazi kuwa mmomonyoko wa maadili nchini unazidi kumomonyoka na watanzania wanatakiwa wajiheshimu kudumisha mila na desturi za kitnzania ili tuweze kuendeleza kizazi chenye maadidli bora.
|
|
|
Na Mwandishi Wetu, Dar
|
|
|
|
|
|
|
|
Mtoa Maoni:
Moody 56
Monday, February 08, 2010 11:51:20
|
|
Mtoa Maoni:
Moody 56
Monday, February 08, 2010 11:51:27
|
|
Mtoa Maoni:
Ubuguvu
Monday, February 08, 2010 12:07:48
|
|
Mtoa Maoni:
DeClarkes
Monday, February 08, 2010 12:32:47
|
|
Mtoa Maoni:
tkm
Monday, February 08, 2010 14:32:55
|
|
|
|
|
|
Jumla kuna maoni (22), Soma maoni yote |
|
|
|
|
|
|
|
Habari zaidi za Tanzania |
...Habari Zaidi
|
|
Advertisements

|
|
Habari Zilizosomwa Sana |
|
|
|
|
| Photo Gallery |
 |
|
|
 |
|
|
|
|
|
|
|