|
|
|
Simba Na Yanga Zaenda Likizo Ligi Kuu |

Kikosi cha Simba |
Saturday, February 06, 2010 1:06 PM
SIMBA na Yanga wikiendi hii zitakuwa ‘likizo’ katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara na badala yake zitacheza keshokutwa Jumatatu na Jumanne. |
Yanga ndiyo itakayokuwa ya kwanza kucheza Jumatatu ijayo dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam ukifuatia mchezo kati ya Simba na Manyema siku ya Jumanne.
Tayari Simba ina pointi 43 ilizopata baada ya kycheza mechi 15 inaongoza ligi hiyo ikifuatiwa na Yanga yenye pointi 33 ikiwa imecheza mechi sawa na za Simba.
Katika mwendelezo wa ligi hiyo, kesho jijini Dar es Salaam Moro United itacheza na itacheza na African Lyon kwenye Uwanja wa Uhuru huku Prisons ikicheza na Azam FC kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.
|
|
|
Ismail Ally
|
|
|
|
|
|
|
|
Mtoa Maoni:
Hagui
Saturday, February 06, 2010 14:52:40
|
|
Mtoa Maoni:
Ubuguvu
Saturday, February 06, 2010 16:58:05
|
|
Mtoa Maoni:
KING
Saturday, February 06, 2010 20:02:26
|
|
Mtoa Maoni:
Semenya
Sunday, February 07, 2010 02:39:25
|
|
Mtoa Maoni:
mkulya orginal
Sunday, February 07, 2010 14:04:45
|
|
|
|
|
|
Jumla kuna maoni (6), Soma maoni yote |
|
|
|
|
|
|
|
Habari zaidi za michezo |
...Habari Zaidi
|
|
Advertisements

|
|
Habari Zilizosomwa Sana |
|
|
|
|
| Photo Gallery |
 |
|
|
 |
|
|
|
|
|
|
|